Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
Nafikiri ni wakati muafaka kusoma kitabu hicho, Ila kwa bahati mbaya sijui nani ndiye mtunzi wa Kitabu hicho.
Moja kati ya sentensi yake ni:-
„......Hiyo nd'o pepo ya mabwege, pepo isiyo pepo ambayo bwege anaipata kwa kuuza utu wake,“ ..... (Uk. 33)
Moja kati ya sentensi yake ni:-
„......Hiyo nd'o pepo ya mabwege, pepo isiyo pepo ambayo bwege anaipata kwa kuuza utu wake,“ ..... (Uk. 33)