Kuli na Kasri ya Mwinyi Fuad no Shafi Adam na Sio bwana MSAKuli Na kasri ya Mwinyi Fuad
Naye aliishia kuwa bwegeNafikiri ni wakati muafaka kusoma kitabu hicho, Ila kwa bahati mbaya sijui nani ndiye mtunzi wa Kitabu hicho.
Moja kati ya sentensi yake ni:-
„......Hiyo nd'o pepo ya mabwege, pepo isiyo pepo ambayo bwege anaipata kwa kuuza utu wake,“ ..... (Uk. 33)
Mkuu naomba utume tena hii