Kuna Mungu na mungu!, Japo umeandika mungu, najua ulimaanisha Mungu!. Kuliandika jina la Mungu kwa capital M ni somo la darasa la 3!, majina yote huanza na capital letter!. Hapo ukute wewe Mkuu The Nugget ni graduate wa LL.B mwenye 1st Class alafu umejoin LST!.
P
Mkuu Kiranga , hili ndilo swali lako la ziku zote tangu nimejiunga jf, na kila siku huwa nalijibu kuwaKwanza kabisa thibitisha Mungu yupo.
Hujathibitisha Mungu yupo.Mkuu Kiranga , hili ndilo swali lako la ziku zote tangu nimejiunga jf, na kila siku huwa nalijibu kuwa
Mungu yupo!, ndiye aliyeziumba mbingu na nchi na kutuumba sisi na viumbe vyote!.
Karibu mitaa hii!
P