Nakereka na aina hii ya denda

Nakereka na aina hii ya denda

Mzee Chapuuka

Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
97
Reaction score
243
Habarini wana jukwaa
Niende moja Kwa moja kwenye mada husika
Jamani Mimi nna mpenzi wangu anajua mapenzi vizuri Tu Ila nakerwa na aina ya denda analonipa
Kwa nijuavyo mimi denda linahusisha kunyonyana ndimi Kwa asilimia kubwa ,lakini Kwa huyu demu wangu imekua tofauti yeye ananipa Sana mate mpaka kero
Natamani kumwambia aache kunimiminia mate Kwa maana hilo sio denda linalofaa ila naona kama ataona nimedharau hivi
Nishaurini wakuu nimwambie au niendelee kukata kiu Kwa mate yake pindi tuwako kwenye 6X6??
 
Habarini wana jukwaa
Niende moja Kwa moja kwenye mada husika
Jamani Mimi nna mpenzi wangu anajua mapenzi vizuri Tu Ila nakerwa na aina ya denda analonipa
Kwa nijuavyo mimi denda linahusisha kunyonyana ndimi Kwa asilimia kubwa ,lakini Kwa huyu demu wangu imekua tofauti yeye ananipa Sana mate mpaka kero
Natamani kumwambia aache kunimiminia mate Kwa maana hilo sio denda linalofaa ila naona kama ataona nimedharau hivi
Nishaurini wakuu nimwambie au niendelee kukata kiu Kwa mate yake pindi tuwako kwenye 6X6??
Huna ujasiri wa kumwambia maneno hayo unakuja kulialia humu...Sasa unafikiri labda atakuja kusoma humu? Acha udhaifu nenda kamfundishe.
 
Kama una nia kweli ya kwamba anachokifanya hukipendi njia mbadala ambayo itamfanya aache ni kumwambia uwazi kwamba unapenda denda ya aina gani.

Kama ni muelewa sidhani kama ataona umemdharau kwa sababu bila kurekebishana hamuwezi mkawa sawa.
 
Mwambie aache kukumiminia mate akupe makohoz,btw msamehe tu,ujue haya mavitu ya wazungu yanahtaj kamuda kuyamaster.babu yangu aliniambia yy akikutana na nyapu hajui hyo inayoitwa romance ye anajua kulenga tu maswala ya kuchubuka au maumiv bibi ndo atajua namna ya kumanuver.
 
Aisee we Ni mpuuzi kweli sasa Kwani Kwenye Denda kuna kuongea Inaonekana hata wewe Unajua Denda Type 1tu ...Ungekuwa fundi Ungembadilisha style Dah!!!
*Samahani kama hutojali niazime Bac Huyo Demu wako!!!*
 
Wanaume hatuko ivyo, wanaume tunakuwa majasiri wa kuyasema kwa uwazi yanayotusibu, wacha ujinga unatuaibisha mzee
 
watu tunazama uvinza itakuwa mate tu unaona kinyaaa....
 
hatuja jua na upande wa pili labda na wewe unampaga li mdomo lote mwaaaaa ..na yeyey hapendi ndo maana anakufanyia na yeyey makusudi tuu.. daah ila hatari sana yan kama nakuona unavyoyavuta mamate ya mkubwa mwenzako..Lakini poa tuu Mapenzi Uchafu bhana
 
huyu anammininia moja kwa moja mkuu..ni kama anayatema kinywani mwa mwenzake hivi..
 
chiqutitta Yani naiona Alert yako huku kwenye earphone wimbo wa Abba-chiquitita unaanza kuplay. Nimeshtuka kidogo
 
Back
Top Bottom