permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,027
- 11,222
Naomba kujua kama kuna dawa ya pearly penile papules.Natanguliza shukrani
Mkuu salito,Hali ya mkeo kula udongo na mchele mbichi kipindi cha ujauzito ni carving inayotokana na ujauzito.Ni aghalabu kushauri tiba kwa wajazito kama wanaafya njema na wanatatizo kama la mkeo.Mjamzito anapaswa apate tiba pale tu inapoidi kwa sababu afya yake ni muhimu na ugonjwa wake unaweza kuwa na madhara kwa mtoto.Ningependa kama ungefunguka zaidi je mkeo ana washwa ukeni?amekuwa mwekundu kwenye eneo la uke?
Kila dawa ina mechanism yake of action kutokana na group ya dawa lilopo.naomba kujuzwa candidas creams zinavofanya kazi kutibu fangus
Nenda kwa daktari akufanyie uchunguzi mimi siwezi kujua una tatizo gani ukisema sikio linauma tu kwa ndani inawezekana ngoma ya sikio ina tatizo na since hutoki usaha huna infection.Sikio linauma kwa ndan mkuu ila sio lile la kutoa usaha hapana linauma tu
Ni muhimu ufahamike una ulcers ipi mkuu na hilo linajulikana kwa vipimo vya maabara kama ureasetest,cultures na gastroscopy.ulcers. nitumie dawa gani
13,4 - 17,0 g/dL ikiwa pungufu ya 13 utakuwa na iron deficencey anemia.Ferroton capsules vina Iron kwa kula hivo vinaongeza wingi wa ferritin mwilini,tukiwa na mapungufu ya iron mwilini,Vitamin B[SUB]12[/SUB],Folic acid na erytropoietin inasababishwa mapungufu kwenye hemoglobin synthesis.Ni kiwango gani cha haemoglobin mwanaume hutakiwa kuwa nacho ktk damu? Na ferroton capsules husaidiaje kuongeza wingi wa damu?
Sifahamu long term complications za hio vaccination mkuu.Madhali mtoto hapati athari zozote kwa sasa its a good indication.Kila la kheri.Nini madhara ya aviam nostril spray kwa mtoto anayeitumia kwa mda mrefu?
hapana!!je erythromycin yaweza tibu uti?
wewe kwani unaonaje mkuu hebu jaribu kufikiri michubuko inasababishwa na nn?Mwanaume akichubuka wakati wa tendo linasababisha na nini?
13,4 - 17,0 g/dL ikiwa pungufu ya 13 utakuwa na iron deficencey anemia.Ferroton capsules vina Iron kwa kula hivo vinaongeza wingi wa ferritin mwilini,tukiwa na mapungufu ya iron mwilini,Vitamin B[SUB]12[/SUB],Folic acid na erytropoietin inasababishwa mapungufu kwenye hemoglobin synthesis.
Hello chasuzy!nashukuru sana nina maswali 31.Nini tofauti kati ya Diabetes type-1 na diabetes type-22.Je kwa nini mtu mwenye diabetes type-2 anashindwa kufanya vizuri tendo la ndoa na nini dawa yake3.je kama tatizo limesababishwa na over weight je akipunguza tatizo linakuwa limeisha?au kuna dawa anatakiwa kutumia pia
Sure karibu dia!gorgeousmimi;
Duh Mungu akubariki sana Dr Kwa kujitolea kutoa hii elimu manake ata maspecialist tunawalipa hawajawah kutuekimisha hvi Mungu akuzdshie sana naomba kuku inbox plz
Kuna mtu ameuliza juu kuhusu dawa ya genital warts naomba uscroll ukasome!Naomba kujua kama kuna dawa ya pearly penile papules.Natanguliza shukrani
Mkuu anaemia zipo aina tofauti kama nilivyokujibu awali inaweza kusababishwa na blood loss(mfano kutokana na kujifungua, vidonda vya tumbo, matumizi ya baadi ya dawa n.k), mapungufu ya uzalishaji wa chembechembe nyekundu za dam(mf. erytropoetin hormone inayotengenezwa kwenye figo ili kustimulate uzalishwaji wa chembechembe nyekundu kutoka kwenye bone marrow haiwajibiki ipasavyo) au kuharibika kwa chembechembe nyekundu za dam kwasababu zinatengenezwa zenye kasoro(sickle cell anemia) !Asante mkuu nmeridhika, je anemia husababishwa na nn, na haemoglobin level ikiwa chini ya 13 g/dl kuna madhara gani? Asante