Sina jinsia,Maana unavyojibu hoja zako kama vile jinsia yako ni undefined…yaan kiumeni haupo na kiukiken haupo.So nilitaka kujua ni nani najibushana nae
Yeaaah!!Ok wewe ni exceptional
Twende taratibu.Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 now,but mwakani mwez 12 mwakani ninatimiza miaka 29. Kipindi nilipokuwa nina miaka 21-25 nilikuwa namshangaa ndugu yangu mmoja kwamba anafikaje 29 bila mtoto?? Sasa yamenikuta 29 naiona hiyo sina mtoto.Jamani msitukane mamba kabla hamjavuka mto
Mdanganye mwenzako tuu aje aitwe babuu na wanaweWe bado mdogo,kula maisha...life begin at forty
Nini kunakuzuia?si utafute mwanamke akiwa mwenye heat ummwagie mbegu? Mbona simple tuUmri unaenda just imagine first born umpate na una 30,huon nimechelewa
Hao watoto watakuwa hawana adabu!Mdanganye mwenzako tuu aje aitwe babuu na wanawe
Haaa, asikate tamaa bhana tupo nae kwenye chain moja na maisha yanasonga kikubwa uzima na afya mengine ni kupambana tu.Hao watoto watakuwa hawana adabu!
Muache usimsumbueNimuite kaka Lukasi mwashamba aje athibitishe hili
Na siondoki😂Na bado uko kwa mama 🤣🤣
Hii ndio jf mkuu😂We mdada si juzi tu hapa umeleta story yako kwamb umemaliza form six ukaenda jeshi, imekuaje tena kamanda ?
Sijambania chochote mimiNa bado unambania Lucas Mwashambwa
Umemuoa?Kutokuwa na hela ni jambo moja na kutopokea simu ni jambo lingine. Mimi baby mama wangu wa kwanza nilimzalisha akiwa chuo mwaka wa mwisho IFM, mimi hapo sina mbele wa nyuma, nipo mtaani jobless. Na japokuwa kwao hawakuwahi kunikubali, mimi yule mwanamke tulikuwa tunawasiliana utasema kuna cha maana nachomsaidia mpaka kwao wakatishia kumtimua. Alikuja akaniuliza “Hivi nikitimuliwa hapa, una sehemu pa kuniweka.??” na mnyama confidently nikasema ndio tutaenda kupanga and she was ready maana aliona mnyama napambana na bado mimba haikuwa sababu ya kunifanya mimi nivunje mahusiano yangu na yeye. Vijana wasikimbie majukumu, wapambane na kuwezesha kile kile kidogo kinachowezekana.
Nimeoa nikiwa 39 na nikapata twin Boyz the same year na ndo first bornsHabari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 now,but mwakani mwez 12 mwakani ninatimiza miaka 29. Kipindi nilipokuwa nina miaka 21-25 nilikuwa namshangaa ndugu yangu mmoja kwamba anafikaje 29 bila mtoto?? Sasa yamenikuta 29 naiona hiyo sina mtoto.Jamani msitukane mamba kabla hamjavuka mto
poleeehSo this is not your case…Endelea na ushirikina wako
Pambaneni bwana mtuletee ma nephew na ma niece 😁😁😁acheni uzembeHaaa, asikate tamaa bhana tupo nae kwenye chain moja na maisha yanasonga kikubwa uzima na afya mengine ni kupambana tu.