Najutia kublock mpenzi wangu Fb

Najutia kublock mpenzi wangu Fb

jarib kumblock m2 1 halaf ukshamblock hapohapo itakuonyexha unblok yule m2 ukshamwondoa kwny block watakuletea unblock lixt then utaona lixt ya wa2 wote ambao umewah kuwablock ambapo unaweza kuwamake unblock yaan kuwatoa kwny block lixt

"lixt" ndiyo nini?
 
Duh! Kumbe mamburula mpo wengi hivi?

Kwahiyo mimi kutokujua mambo ya kum-block mtu huko fb ndo nimekua mburula?sijutii hilo maana ni suala la setting tu na hakuna darasa la setting zaidi ya kujulishana kutoka kwa watu waliofatilia zaidi au kusoma maelezo tu.mbona wewe sijaona hoja yako,au unatafuta bwana humu?unakazi ya kuangalia wanachoandika watu?acha tabia ya kugelezea wewe mwizi wa kazi za watu halafu unajifanya unajua,wewe njoo humu usome hoja na mawazo yetu ujifunze zaidi.unakua kama sio f.a.la bwana?
 
Duh! Kumbe mamburula mpo wengi hivi?
soma haya maandishi ya facebook.
"Block users

Once you block someone, that person can no longer see things you post on your timeline, tag you, invite you to events or groups, start a conversation with you, or add you as a friend. Note: Does not include apps, games or groups you both participate in."

mimi nilitumia laptop sikuweza hata kumuona mtu mmoja niliem-block,unahisi umburula wangu upo wapi hapo?kama ni suala la Apps mm sina tatizo maana kila siku teknolojia inabadilika,nisipojua mimi wengine watanijulisha.lakini nililifanyia kazi na bado sijaona mabadiliko.
 
Lakini watu wanadhangaza isue inahusu FB wewe unaleta JF

Nini cha kushangaza hapo na wewe au hujui kutumia neno shangaza,WATZ BANA SO KUWEPO KWA JF KUMEIFANYA FB KUWA MAV*ACHA USHAMBA MKUU,NI MTANDAO MKUBWA TENA WA KIMATAIFA,WAKATI JMII FORUM HATA Haijulikani kimataifaa sawa au ulikuwa hujui,Barak Obama tu haijui jamii forum lkn anaijua fb
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom