Lkn watu wanadhangaza isue inahusu fb ww unaleta jf
Acheni umbulula uhasama wenu wa chadema na ccm usidhani uko mpaka kwenye mitandao ya kijamii,yote hii ni mitandao ya kijamii sasa shida iko wapi ?
Lkn watu wanadhangaza isue inahusu fb ww unaleta jf
Ukim-unfriend rafiki,badae unaweza kum-add/unblock na akawa rafiki yako tena.ila ukim-block haiwezekani kumrudisha na hata ukim-seach kwa kutumia akaunti uliyotumia kumblock hutamuona.NJIA NI MOJA TU,FUNGUA PROFILE MPYA.ila pia inaonekana wewe unatatizo kubwa litaku-cost sana kwenye mahusiano.
Duh! Kumbe mamburula mpo wengi hivi?Ukim-unfriend rafiki,badae unaweza kum-add/unblock na akawa rafiki yako tena.ila ukim-block haiwezekani kumrudisha na hata ukim-seach kwa kutumia akaunti uliyotumia kumblock hutamuona.NJIA NI MOJA TU,FUNGUA PROFILE MPYA.ila pia inaonekana wewe unatatizo kubwa litaku-cost sana kwenye mahusiano.
Piga huduma kwa wateja
Fungua profile yako.kisha chini kabisa utakuta settings & privacy ipe ok.ikifunguka utaona unblocking ipe ok.utaona jina lake utaunblock.thanx
Daa hasira bana,nilichukizana na mpemzi wangu nikijua hatitaweza kuwa wapenzi,na kwa hasira nilimblock kwenye fb na mitandao mingine,baada ya mda mfupi tuli-compromise na tukawa wapenz tena
Ile nataka kumu-UNBLOCK SI NIMESHINDWAA!!!,JE UNA UZOEFU NAMNA YA KUMU-UNBLOCK!?Nisaidie
Thanks alot guys,especially for those ones who gave me a positive support,kuuliza sio ujinga,na nisingejifanya najua wakati sijui
Na Labda kwa myie mlionitolea lugha za dharau kejeri,SIJUI DHARAU ZENU NI KUWA MNAJIONA UNIQUE SANA AU IKOJE?
Lakini yote ya yote mim nawashuruni wote kwa ujumla wenu!!,namim nimekuwa expert sasa!!
"Stay blessed you all!!"
Daa hasira bana,nilichukizana na mpemzi wangu nikijua hatitaweza kuwa wapenzi,na kwa hasira nilimblock kwenye fb na mitandao mingine,baada ya mda mfupi tuli-compromise na tukawa wapenz tena
Ile nataka kumu-UNBLOCK SI NIMESHINDWAA!!!,JE UNA UZOEFU NAMNA YA KUMU-UNBLOCK!?Nisaidie!!
Lkn watu wanadhangaza isue inahusu fb ww unaleta jf
Hongera kwa kufanikiwa kumu-unblock. Sasa ungeuliza kabisa na jinsi ya kufuta picha na vitu nyingine mta-tag-iana ili mkizinguana tena badae uepuke hii usumbufu.Daa hasira bana,nilichukizana na mpemzi wangu nikijua hatitaweza kuwa wapenzi,na kwa hasira nilimblock kwenye fb na mitandao mingine,baada ya mda mfupi tuli-compromise na tukawa wapenz tena
Ile nataka kumu-UNBLOCK SI NIMESHINDWAA!!!,JE UNA UZOEFU NAMNA YA KUMU-UNBLOCK!?Nisaidie
Thanks alot guys,especially for those ones who gave me a positive support,kuuliza sio ujinga,na nisingejifanya najua wakati sijui
Na Labda kwa myie mlionitolea lugha za dharau kejeri,SIJUI DHARAU ZENU NI KUWA MNAJIONA UNIQUE SANA AU IKOJE?
Lakini yote ya yote mim nawashuruni wote kwa ujumla wenu!!,namim nimekuwa expert sasa!!
"Stay blessed you all!!"
Just clowning man, kila la kheri
Kweli inakuwa hizo "X" nimeamini lugha huzaliwa kuishi kukua na kufa pia...
kwani mapenzi yenu ni ya uwongo??
ishu za kuleta jf zinatakiwa zitokee wapi kumbe...