Najutia kublock mpenzi wangu Fb

Najutia kublock mpenzi wangu Fb

Ngurubhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,840
Reaction score
1,049
Daa hasira bana,nilichukizana na mpemzi wangu nikijua hatitaweza kuwa wapenzi,na kwa hasira nilimblock kwenye Fb na mitandao mingine,baada ya mda mfupi tuli-compromise na tukawa wapenzi tenaIle nataka kumu-unblock si nimeshindwa,Je unauzoefu nimunblok.

Nisaidie
 
Jaribu kumblock mtu mmoja halafu ukishamblock hapohapo itakuonyesha unblok yule mtu ukishamwondoa kwenye block watakuletea unblock lixt then utaona lixt ya watu wote ambao umewahi kuwablock ambapo unaweza kuwamake unblock yaani kuwatoa kwenye block list.
 
ungeuliza kwa wenzako humohumo ktk FB.

Kwani fb ni adui yako?
Ni mtandao wa kawaida na ni mhimu nifautana tu unautumiaje!! Sawa mkuu japo inaonesha ukukzwa katika namna ya kuwa na lugha zenye ukakasi!
Asante lakini kwa mchango wako!,maana usingereply angekosekana mtu wa kwanza kureply!!
 
Fungua profile yako.kisha chini kabisa utakuta settings & privacy ipe ok.ikifunguka utaona unblocking ipe ok.utaona jina lake utaunblock.thanx
 
jarib kumblock m2 1 halaf ukshamblock hapohapo itakuonyexha unblok yule m2 ukshamwondoa kwny block watakuletea unblock lixt then utaona lixt ya wa2 wote ambao umewah kuwablock ambapo unaweza kuwamake unblock yaan kuwatoa kwny block lixt

Kweli inakuwa hizo "X" nimeamini lugha huzaliwa kuishi kukua na kufa pia...
 
Lakini watu wanadhangaza isue inahusu FB wewe unaleta JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom