Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
mwambie tamaa haikatwi viuno na umeme ndio voinakatwaMhitimu wa chuo kikuu unaandika 'kipengere'?
mwambie tamaa haikatwi viuno na umeme ndio voinakatwaMhitimu wa chuo kikuu unaandika 'kipengere'?
Teh teh teh!!!
He wants to become a president!!!, huyo mtoto wako yuko bright, hata kama haijawa clear kwake kwamba atasomasomaje, lakini he can see a "a big person"in him. He sees that he has a destiny, very good.
Habari zenu ndugu,
Ni kipindi kirefu nimekua nikiangaika kutafuta ajira pasipo mafanikio.Nimefanya interview zakutosha lakini nimekua nikiambulia ahadi tu za kupigiwa simu toka kwa ma hr ambazo hazina ukweli wowote.Kitu kikubwa kinachotukosesha ajira sisi vijana ni kipengere cha experience ambapo waajiri wengi wanahitaji uzoefu usiopungua miaka mitatu na kuendelea.Swali ni je nawezaje kupata huo uzoefu wakati ofisi nyingi hazitaki kuniajiri na hata ninapoomba kujitolea naambiwa nafasi hakuna ?kwa kifupi ndugu zangu nimekata tamaa kabisa kama siku moja nitakuja ajiriwa na najutia miaka mitatu niliyoipoteza chuoni pamoja na ada niliyoitumia kwani laiti ningejua ni bora ile ada ningeitumia kwenye kujiajiri kuliko kupote pesa na muda wangu.
Yani hapa nasubiri miujiza ya mwenyezi Mungu tu kwakweli.
Eeeh Mungu tuangalie waja wako,tuko kwenye kipindi kigumu sana.
Ni ugonjwa wetu ule ule wa kila siku wa kufanya mambo kwa mkumbo na utamaduni, bila kujiuliza.
Na kutumaini tu mambo yataenda sawa.
Dunia inabadilika, enzi za wazee wetu ukimaliza chuo cha East African Community una guarantee ya kupewa kazi nzuri na kufanya shirika hilo hilo kwa miaka 35 mpaka unastaafu zimepita na hazirudi.
Mkuu wewe unasema uoga wakati uko unapiga box majuu, si ungebaki kama sio muoga
Shida hufunza maarifa
habari zenu ndugu,
ni kipindi kirefu nimekua nikiangaika kutafuta ajira pasipo mafanikio.nimefanya interview zakutosha lakini nimekua nikiambulia ahadi tu za kupigiwa simu toka kwa ma hr ambazo hazina ukweli wowote.kitu kikubwa kinachotukosesha ajira sisi vijana ni kipengere cha experience ambapo waajiri wengi wanahitaji uzoefu usiopungua miaka mitatu na kuendelea.swali ni je nawezaje kupata huo uzoefu wakati ofisi nyingi hazitaki kuniajiri na hata ninapoomba kujitolea naambiwa nafasi hakuna ?kwa kifupi ndugu zangu nimekata tamaa kabisa kama siku moja nitakuja ajiriwa na najutia miaka mitatu niliyoipoteza chuoni pamoja na ada niliyoitumia kwani laiti ningejua ni bora ile ada ningeitumia kwenye kujiajiri kuliko kupoteza pesa na muda wangu.
Yani hapa nasubiri miujiza ya mwenyezi mungu tu kwakweli.
Eeeh mungu tuangalie waja wako,tuko kwenye kipindi kigumu sana.
Mhitimu wa chuo kikuu unaandika 'kipengere'?
Mkemwenza umetishaaa
Msomi na kipengere cha experience
mimi nilimaliza chuo cha idm -mzumbe mwaka july 1994: Nimepata kazi mwaka 1996. Nilihangaika kama wewe mpaka nikawanafikiri kunasiku nitakuta barua zangu za maombi nitakuta wamefundia maandazi. Nadahani uzoefu huu unaweza kukusaidia kutokata tamaa
Muda fulani huwa mnakosea kukosoa kila kitu, aliendika hivyo ni binadamu huenda alikosea tu bahati mbaya. Kwani wewe hujui kwamba watanzania wengi tumeathiriwa na mother tongue? Huyo anaweza kuwa mkurya au muhaya. Nilichogundua humu kuna watu mna dharau sana na kujiona nyinyi ni perfect hamkosei na hamjawahi kosea.
Acha kulia lia kama marioo, komaa na nyuzi.
Hapo bold acha ku-generalise, watu? Umewaona wangapi zaidi ya mie tu? Mother tongue hadi kuandika? Ingekuwa kutamka hapo sawa, kuandika hakuna maza tang'i, ni faza tang'i tu ambayo ni kujifunza kuandika kwa ufasaha.
U have point, sometimes ni kweli badala ya kuona context kwa ujumla na mtu yuko katika status gani ni vzr kuchuja ushauri wetu. Huenda wengine Jf inawaokoa kuahirisha destiny mbaya just kwa kushauriwa context na sio contentsMkuu hivi wewe hujawahi kukosea hata siku moja?
Kwa nini tunakuwa hivi watanzania?
Mtoa mada anahitaji ushauri anaonekana amekata tamaa sasa wewe unakuja hapa kuangalia makosa ya spelling kitu ambacho hata wewe unaweza kosea.
U have point, sometimes ni kweli badala ya kuona context kwa ujumla na mtu yuko katika status gani ni vzr kuchuja ushauri wetu. Huenda wengine Jf inawaokoa kuahirisha destiny mbaya just kwa kushauriwa context na sio contents