Najuta kuoa

Eti wana mtoto mmoja. Wakati wa morning glory mwanamke amevaa jinz. Kuna kitu kitamu kuliko morning glory kweli?
Huyo ni wa kunyooshwa tu, aachwe peke yake na mtoto kama mwaka mmoja afu jamaa arudi aone kama atakuwa anaitenga k mwenyewe bila hata kuombwa. Sasa hapo ukimsaliti napo atalalamika kweli.
 
Kimbia UTAKUFA ukifanya JASIRI
 
Solution apo ni kuachana tu...hakuna njia nyingine
 
Kama hudanganyi pole sana

Sipendi kumshauri mtu kuchepuka ila hii ndio solution, kwa nn akutese? Kama hataki ndoa si aondoke?

Anakufungia njee kama nani? Acha utani, nyumba yako Mke anakufungia nje? Au wewe ndio umeolewa anakufanyia Visa uondoke??
Believe me, believe me nimefuatilia post zako. Sijawahi ona sehemu unashauri kama hivi. Hatari sana
 
Shauri yao! I was super careful on that
 
Duh me demu wangu nilale nae alafu niingie JF aisee ujue lazima cm ivunjwe na ugomvi mkubwa utatokea ananiambia nikiwa nayeye kitandani basi vitu vingine nisivipe nafasi nakama nimechoka kubinuka basi nilale nakama sina usingizi basi tupige story zamaisha. Nashangaa huyo wako yukoje mkuu
 
Aisee
Yaani vibaya mnooo
 
Aya mambo ndio yananifany niendeleh kusubir kupata mtu sahii
Mapenzi yanapozaliwa huwa yamejaa utamu, lakini kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo yanavyopungua. Wewe kama umepata mpenzi ambaye unahisi utaweza kuvumilia mapungufu yake muoe tu maisha yaendelee.

Unafikiri itakuchukua muda kiasi gani kupata mtu sahihi, hususani hawa Wanawake ni vinyonga, wanabadilika kila baada ya dakika. Unaweza kuwa nae leo, kesho anakwambia muachane mpaka unajiuliza nimemkosea nini huyu?!
 
MM MARINGO KAMA HAYO NA UGOMVI KAMA HUO NAUTAFUTA HASAA KWA MWANAMKE MBONA SIUPATI??
 
umeoa mke wa mwenzio.....wako bado anakutafuta..... mapenzi matamu ni kwenye uchumba...ndoani ni sanaa,,, lazima wote muwe wasanii ili sanaa yenu muikubali muishi kwa raha mustarehe......nje ya hapo hamna kitu
 
Pole kwa kufanya wrong choice...hakuna maisha ya raha kama ya ndoa only kama utafanya right vhoice..Mungu akupe hekima
 
Kanda maalum

Hawezi amini unampenda mpaka utembeze kichapo

Anzia hapo, vinginevyo anakuona mrisha tu
 
AINA NYINGINE YA UTONGOZAJI!
sounding desperate
needy
very vulnerable!

WAOKOAJE WANADAKAJE FURSA!
well pole lakin!
 
Kaa uzungumze nae kwa umakin mkubwa asipobadilika, mrudishe hta nyumban kidgo aende kujitafakar.suala LA kuwashirikisha wazaz mm sio muumin sana wa hilo ninyi ndo mnaweza badilisha mahusiano yenu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…