Najuta kuoa

Tafuta mchepuko wa kudumu au mpige chini au ongeza Mke wa pili
 
Atakuwa alisoma GENDER studies huyo, hao wanaambiwa/mnaambiana mmeoana badala ya wewe kuoa na mke kuolewa kaazi kweli.
Huku nyumban Africa hakuna kuoana ni kuoa mzee
 
SASA NA MIE NILIYEOA UKEREWE YAANI SIJUI NISEMEJE TABU TUPU. WAIFU KILA SIKU ANAPIGA MAKASIA KITANDANI USIKU. ASUBUHI AKIAMKA YUKO HOI TAABANI.
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Daah,ndoa ndoano!..msalaba wako huo mkuu,pambana nao tu,Mungu akusaidie
 
Hahaha anashukurugi kimoyo moyo

Huyo ashakuchoka aisee peaneni nafasi maana mwisho ni mbaya
 
Pole sana
 

Attachments

  • E18B5852-3B71-4BB0-8150-9369B6D1A7E4.MP4
    721.8 KB
Hawa wanawake mbona mnawalealea sana! Unaanzaje kulalamika kisa mwanamke! Piga chini huyo mama, tafuta msichana, date naye ukipendezwa naye oa kabisa.
 
Umekubali kulala mzungu wa nne. wewe siyo yeye.

tena una majungu wewe, mke ni mtoto, muongoze, si mzigo wako bembeleza, ndo tabia yake aende wapi sasa, lia, usimuache huyo, ni mtu mzuri sana, amini maneno yangu.

yachukulie ndo maisha muombe Mungu.

usijathubutu kuacha.
 

Mbona wanasema dawa ya kumkomesha mwanamke jeuri ni kumzalisha?
 
Hawa wanawake mbona mnawalealea sana! Unaanzaje kulalamika kisa mwanamke! Piga chini huyo mama, tafuta msichana, date naye ukipendezwa naye oa kabisa.

Una wake wangapi?
 
Una wake wangapi?
Sijaoa bado, ila ndo utakuwa utaratibu wangu. Sitakagi kuyumbishwa na mwanamke kabisa, wako wengi mno……..napanga na kupangua panapolazimu kufanya hivyo mkuu.
 
Sijaoa bado, ila ndo utakuwa utaratibu wangu. Sitakagi kuyumbishwa na mwanamke kabisa, wako wengi mno……..napanga na kupangua panapolazimu kufanya hivyo mkuu.
Kama hutakagi kuyumbishwa na mwanamke nakushauri uoe kinyago au usioe kabisa. Usipokuwa na hekima huwezi kuishi na mwanamke yoyote. Hakuna mwanaume HAPA anayeweza kusema hababaishwi na mwanamke; HAKUNA labda awe kwenye denial kutokana na masaibu yaliyomkuta kwa kupenda mwanamke.
 
Nina mpango wa kuoa, lakini kwa tahadhari kubwa mno hata ninayemuoa ananijua kuwa huwa sivumilii ujinga wa aina yeyote kwenye mahusiano. Nipo tayari kuishi bila mke ila siyo kuvumilia udhaifu wa mwanamke. Sipaswi wala sistahili kulalamika na kulialia kisa mwanamke.
 
Unasikitisha sana...

Hapo ni kama umeolewa badala ya wewe kuoa... gangamala mwanaume... wee wa wapi wewe? Au wa mikaoni?


Cc: mahondaw
 
HAUKO TAYARI KUVUMILIA UDHAIFU WAKO MWENYEWE. KUTOKUWA TAYARI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA MAISHA YA MAHUSIANO NI UDHAIFU BINAFSI NA SI WA UPANDE WA PILI.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…