Najuta kuoa

UNIQUEMAN1

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2018
Posts
378
Reaction score
450
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali

Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.

Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
 
Hayo mambo ndiyo yanawatumbukiza watu kwenye michepuko kama siyo kuwa na mitala.

Mwenza huwa siyo sura, fedha wala nini !!. Mwenza ni akili na moyo safi. Anakokufikisha huyo kila moja atashika njia yake. Bado kidogo tu
 
Hata kinyonga hubadilika kutokana na mazingira aliyopo. Kuna mazingira umeyatengeneza wewe yamepelekea awe hivyo.

Umetupa mabaya yake, , ya kwako hujatupa.

Unatulazimisha tujadili u kanda maalum wake, nahisi kabila lake Mkurya.

Tangu kabla hujaoa hukujua kuwa ni Mkurya? Mbona wakura watu poa sana wenye adabu na heshima zote?

Unasema uko Makambako 7unajifunika shuka, je haya ni majira ya kujifunika shuka Makambako, ?

Nadhani uko kwenye Makambako ya bongo muvi

Katafute mazezeta siku ya jumamosi kwenye maombi aliyoandaa BASHITE ndio uwape hiyo story yako.
 
MADHALI UMEMBMBELEZA HATAKI BASI WW USIMUAMBIE KITU KUANZIA SASA, NA WW JIFANYE HUJALI, MSHUGHULIKIE MTOTO WAKO TU NA UMPE HELA YA MATUMIZI TU, JIFANYE KIVYAKO, ALAF TAFUTA KAMCHEPUKO PEMBENI MKAPIME AFYA MUANZE MAHUSIANO, ATA KIKAWA KASURA HAKIPO POA MPIGE PUMBU KISASAWA UMPAGAWISHE NA WW UPAGAWE HASAA, UONE KAMA HUYO MKE WAKO HESHIMA HAITORUDI NA KUANZA KUKUPENDA KWA KASI YA 5G
 
Nahisi wewe ni mdogo wangu na kama sio wewe basi itakuwa story zenu zinafanana yaani mkewe yuko hivyo hivyo mpaka jamaa anatamani kumwachia kila kitu ahame mkoa au nchi kabisa!
 
Hayo mambo ndiyo yanawatumbukiza watu kwenye michepuko kama siyo kuwa na mitala.

Mwenza huwa siyo sura, fedha wala nini !!. Mwenza ni akili na moyo safi. Anakokufikisha huyo kila moja atashika njia yake. Bado kidogo tu
Kwenye maisha yako jiepushe sana na kuhukumu kwa kusikiliza kesi upande mmoja.
Story ya mshikaji ina uwongo mwingi ndani yake.
 
Kwamba sipo MAKAMBAKO au? Mbn sijakuelewa ww mkury
 
Kwenye maisha yako jiepushe sana na kuhukumu kwa kusikiliza kesi upande mmoja.
Story ya mshikaji ina uwongo mwingi ndani yake.
Uwongo gani? Kwamba nimelazimisha kutoa kitu kinachoniumuza moyoni?? Au niongope ili iweje labda?? Hujawaza vizuri. Hapa nimetoa sumu mwilini huu muda ungekuta tupo kwenye morning Glory!! Lakini tumelal mzungu wanne . Unafkr ningeshika hii simu na kuandika?
 
JF kuna mambo.
Eti mke anakuletea matukio.
Ingekua mimi angekua ananiona nikija kubadili nguo asubuhi.
Kama ndani ya wiki hajabadilika. Nabadili mwingine.
Watu wanabadilisha timu kutoka upenzi na Simba kuja Yanga. Wewe mwanamke anakuringia????
Mwanamke???? Siamini
 
ukiachana na yote hayo uliyoongea huko mwanzo mimi hapo mwishoni ndo pamenimaliza kabisa yaani hapo uliposema alikujibu kuwa huwa anashukuru kimoyomoyo ndo pamefunga kazi nimejikuta nacheka kwa nguvu peke yangu alfajiri yote hii aise hilo jibu la mkeo limeifanya siku yangu ianze vizuri
 
Sure mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…