cold water
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 174
- 618
Heloe JF,
Kuna kitu napitia kizito kidogo, Mimi ni binti wa makamu nilibahatika kupata mtoto, lakini kuna maugomvi ya hapa na pale yalisababisha kuachana na baba mtoto, mtoto alichukuliwa na ndugu zake upande wa kiume.
Sasa karibu shule zinafungwa nazani baba ake atamchukua kwaajili ya likizo, baba ake tayari ana maisha mengine,ana watoto wawili kwa sasa na anaishi na mke wake, sasa na Mimi nahitaji kumuona mtoto.
Siwezi safiri kwenda kumuona mtoto kwasababu ya majukumu ya kazi yaani uko alikochukuliwa(ndugu upande wa kiume), kama mnavyojua kazi za serikali izi na Mimi mwanaume niliyenaye yupo kikazi mkoa Fulani.
Sasa uyu baba mtoto kaniambia tukutane mkoa Fulani ili na Mimi niweze kumuona mtoto Nina miaka kama miwili sijamuona uwa nawasiliananae kwenye simu tu.
Kuna kitu napitia kizito kidogo, Mimi ni binti wa makamu nilibahatika kupata mtoto, lakini kuna maugomvi ya hapa na pale yalisababisha kuachana na baba mtoto, mtoto alichukuliwa na ndugu zake upande wa kiume.
Sasa karibu shule zinafungwa nazani baba ake atamchukua kwaajili ya likizo, baba ake tayari ana maisha mengine,ana watoto wawili kwa sasa na anaishi na mke wake, sasa na Mimi nahitaji kumuona mtoto.
Siwezi safiri kwenda kumuona mtoto kwasababu ya majukumu ya kazi yaani uko alikochukuliwa(ndugu upande wa kiume), kama mnavyojua kazi za serikali izi na Mimi mwanaume niliyenaye yupo kikazi mkoa Fulani.
Sasa uyu baba mtoto kaniambia tukutane mkoa Fulani ili na Mimi niweze kumuona mtoto Nina miaka kama miwili sijamuona uwa nawasiliananae kwenye simu tu.