Najuta kuoa mwanamke mlokole

Kwa kweli hapafai kwenda:nono::nimekataa
 
Too much of anything is harmful! Jambo la msingi ni kuwa na kiasi kwa kila kitu tunachofanya.
 
mi pia mlokokole ishu sio ulokole ishi ni ufahamu kichwani...........usidhani jina ulokole ndio pona ukioa unaoa mke yani mtu na tabia flani....sasa nyie hamuendani yani umeoa mtu ambaye sijui kama anajua wajibu wake kwa mume na familia......Bilblia inasema uwe na kiasi....sasa masaa yote kanisani ndio kusema yupo kiroho sana au....noooo

We nawe unampiga ili uiweje tena utafungwa kwa upuuzi wako....kupiga sio suluhu,...tafuta suluhu uliingia ndoa kwa shida na raha........so tumia busara na sio kuvunja watu viuno....

Ndoa ndoano hakuna formula kuwa ukiona mlokole sijui nini kwanza ishu si hilo jina....ishu ni mkristo anayemuamini Mungu thru Jesus...chunga sana waowaji...ndoa sio ulokole

pole sana mwishoni duuu kazi unayo mke wa hivo binafsi tutashindwana tuuu
 
walokole wanaoana wenyewe kwa wenyewe bana, kama umehama ulokole huwezi ishi na huyo binti.
 
I wish i could talk to your wife. Ni pm tafadhali na uniambie hilo ni kanisa gani?
 
Rachel fast huku, nafasi iko wazi kwa ajili yako
 
Pole sana mkuu cha msingi kama hapo umepanga fanya utaratibu uombe tranfer uhamie mkoa mwngne upunguze shari haya makanisa cku hiz n balaaaaa😏
 
Nlishasema mm..kuna makanisa matatu tu! KKKT, KATORIKI na ANGLIKAN,,, hawa utaratibu wao wa ibada ni mzuri sana, imani yako ndio inayo kuponya,,hata ukioa mke katika makanisa haya hutasikia upuuzi wa kwenda kanisani kila siku,,..sio hawa wanajiita walokole....
 

Mkuu katoriki ndo kanisa gani?
 
 
Sasa wewe hufai kabisa huyo mke anafaa maana anamtumikia Mungu na wewe anakuombea shida yako nini kwani unyumba hupati? kama unyumba hupati hapo short. Lakini usimpe Talaka eti sababu anasali sana hapo unakosea

Ushauri wa bure tafuta spare wa kukusaidia kwa siku anazoenda kulala kanisani hapo utakuwa umemaliza shida zote
 

Umenena ukwel, ila tatzo jngne ni kwmba kaka e2 huyu, mke wke anafny kaz, hvyo mshahara unaishia huko kansani, pesa y jamaa huyu ndo ina2mika, so km wangekuw wote wa2 wa hvyo unafkr wangekuw na nn ? Mwsho wakafa maskn wenzao wanatajrka, tatzo la walokole hawajielewi, nawaurumia sn jnc wanavoibiw pesa na mali zao, they av 2 change, ckatai ibada, ibada wafanye ila inshu ya kutoa hela tena nyng kla cku mh, iyo namashaka nayo, ibada inanunuliwa, ata iwe sadaka ndo kw cku utoe lak 5 afu familia itaishje ? sadak toa kiasi kdogo, inatosha ili naww uweze kuish, sio unatoa yt, kesho km huna utatoa nn ?
Walokole badlken, msiwe km chama tawala!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…