Najuta kuoa mwanamke mlokole

pole kwa yanayokukuta. kimsingi mkeo na wakwe zako hawana akili kabisa. Imeandikwa kila jambo lifanywe kwa kiasi. Haiingii akilin mke anakesha kanisani huku akiwa ameacha mtoto mdogo kama huyo nyumbani. Hapo kuna tatizo kubwa sana
 

Sina hakika kama unauzoefu wa ndoa...kuacha is the last option.
 

Sina hakika kama unauzoefu wa ndoa...kuacha is the last option.

Hamna namna nyingine alitakiwa afunzwe tu.
 
Maradhi, ujinga, umasikini na dini Ni janja kwa waafrika walio wengi

Sisemi dini ni mbaya ila waafrica wengi wanafungwa akili na dini na kuchukulia dini kupita kiasi. Wengi wanaheshimu dini kuliko Mungu mwenyewe. Pole mkuu
 
"Wanaofanya kazi ya madhabahu, hula madhabahuni"
kama hatafunwi na mtumishi sijui tu, kipigo cha shemejio ndo kimeniacha hoi nmecheka duh
pamoja na kukuponyoka ulifanikiwa kumtengua mbavu ha ha ha ina maana asingekimbia roho ingeachana na mwili dah funny
 
Pole sana,dini ni ndani ya moyo wake na sio kukesha kanisani angeweza hata kuwa anasali akiwa nyumbani baada ya kazi zake na siku moja kwa wiki ndio angekwenda kanisani kusikiliza neno la mungu.Shida haya makanisa ya kiroho yanamafundisho yasiyo faa na yamekuwa chanzo cha kusambaratisha jamii pamoja na ndoa.Nina watu wamepotelea huko kwrnye hayo makanisa na kudhindwa kujumuika na familia au jamii
 
njoo uku kigoma uoe totoz za kituc full adabu na gemu wanaweza ataree
 
Achana naye ndoa siyo kupeana stress bhana, piga chini hakufai huyo.
 

Una ufahamu mkubwa sana wewe!!! Jamaa huyu hakuwa anajua hata anafanya nini alidhani kile alichofanya ni cha maana sana kumbe mhh!!!!!!!!!
 
Hakuna maisha yasiokua na changamoto. Kuna siku nilikua nasikiliza wimbo wa chaguo lako mpaka nikachoka. Ni chaguo lako mzee cha msingi mpotezee kwa kitambo mpaka mwenyewe ajione useless. Mwambie achague kani ya kanisa au wewe. Kila kitu too much is harmful lakini kubadili naona ni shida maana ni bora mtu uliemzoea kuliko kuanza na mtu mpya darasa la kwanza au chekechea. Fikiria pia shida atayopata mtoto wako kwa sababu ya hayo matatizo yenu. Mimi naona bora kama ndoa imekushinda ni bora usioe kabisa lakini kuoa tena naona kama ni sawa na mtu alifika chuo kikuu kurudi tena chekechea.

Hao wazazi busara zero, lakini mzee ukikumbatia sana wazazi wa mkeo watakuletea shida. Inatakiwa kuwe na kaumbali kidogo wawe na kaheshima kidogo. Maana wasijeona kama walikupa binti yao kwa kukupendelea wakati mabinti wamejaa huko mtaani wanatafuta ndoa. Inabidi uwe mkali usiingilie maisha yao nao waheshimu serikali yako.




 
Kaka pga chini na kupunguza mawazo kuna vtu vng vya kufanya wal c kuwaza mwanamke ambae hajitambui kama huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…