Najuta kuoa mwanamke mlokole

Najuta kuoa mwanamke mlokole

Pole sana hapo ndio ujue hizi dini zenu ni za kutungwa, sasa hapo huwezi kumpa talaka na kuoa binti mwingine kwa sababu dini yenu hairuhusu hilo. Nakusihi hama dini na usilimu, ukisilimu siku hiyo hiyo ukiitaji mke unaozeshwa na ukiwa unahitaji mke wa pili ruhsa.Hii ndio dini inayofuata Maumbile ya binaadam ambayo Allah ametuletea
 
Sheria ya ndoa imetaja vigezo ambavyo mtu anaweza kudai talaka na kukubaliwa. Kimoja wapo ni ukatili "matrimonial cruelity" hili suala la dini huwa ni kero kubwa katika nyumba hasa umkute mlokole aliyeliwa kama huyu. Fedha zote akipata anapeleka kwa mchungaji, wanakuja kuweka kambi nyumbani kila saa ni mapambio hata muda wa kupunzika hakuna, msosi kanisa linahamia kwako, wanakulazimisha uwafuate na wanasema wewe ni pepo au una mapepo.Lakini issue yako ni tofauti kabisa maana ulimuoa akiwa tayari ni mlokole ni tofauti na yule aliyebadilika akiwa kwako. Kwa maana nyingine umeridhia matatizo unayoyapata na kisheria tunaita matatizo ya kujitakia hayana fidia " VOLENT NON FIT INJURIA"
 
Tatizo wewe ni lipagani unaoa mlokole mtawezana kweli.
Mwenzio anaamini maombi ndo yalimpa tabia njema mpaka ukamnyatia wewe ukijifanya na wewe mlokole.
Anaamini akitoa atabarikiwa na wewe hutaki.

Mimi nilioa mlokole ana miaka 21 umri wake
Siku ya kufunga ndoa nikamkuta ana............Maria,nikamuuliza aliwezaje kushinda na uzuri wake huo? akasema ni maombi tangu hapo hata akikesha huko sina neno maana ananilinda nisipate hata UKIMWI maana jamaa wangemvagaa tu.
 
duhhh polee mzee mzima ila but kuna nafasi naona mnaweza kukaa na kupanga mkayamaliza!
Mwanamke ukimsamehe leo akikaa anasahau atarudia tena yaani ni kama inzi unamfukuza kwenye kidonda bado atarudi mpaka umuue ndiyo anaacha mwanamke wa kilokole ni janga tupu! Mimi nahisi wale wachungaji huwa wanawaroga Waumini wao maana hawasikii nyie mnampelekea hela anajenga mahekalu na kununua magari ya kifahari wewe bado unatembela baiskeli ya swiswiswi! Acha nae angalia jinsi ya kumlea mwanao .
 
NILISHAAPA.... KAMWE SIWEZI KUOA MLOKOLE KWENYE MAISHA YANGU...

Hata mamangu mzazi amenikataza hilo...


Labda, narudia tena labda "Abadili dini aje Roman Catholic " Mbali na hapo tupa kule.

Sifa zao hawa:

1. Wana jeuri hawa.
2. Wana hofu ya mchungaji wa kanisa kuliko mume wake, yani ana muheshimu mchungaji kuliko mme wake... Na hapa ndio ntapiga mtu mpaka nitoe taya.
3. Hawa jui malezi ya mama kwa mtoto.
4. Hawana akili za maendeleo, wana waza kufunga naku sali mwanzo wa mwaka mpaka mwsho.


Nili wai kua na girlfriend mlokole... Bora tuli achana aisee... Headache tupu.
 
Acha kuiga akil za kizungu, kwa waafrika mke akileta kimdomo ruksa kumpiga vikofi vichache ili kumkumbusha kutii amri halali ya mume wake. Mm napinga kumpiga mke kikatili had akavimba au kutoka dam

Tabia ya kupiga inaashiria ukosefu wa ustaarabu, ni dalili ya udhaifu, ujinga na ushamba. Unapoamua kumpiga mwanamke mara nyingi ni matokeo ya kushindwa kujenga hoja bila ugomvi ili ueleweke au yawezekana kuna jambo wewe unalipinga lkutoka kwake akini kwa kuwa huna hoja za nguvu za jinsi ya kukabiliana na hoja zake (udhaifu, ujinga) ndipo unakasirika na kwa kuwa wewe ni 'mwanaume' na una 'nguvu' unajikuta kuanza kupiga.

Je nawe ukikosea upigwe? au ukitofautiana hoja na mwingine upigwe?
Dunia inabadilika, maisha yanabadilika, ndugu yangu nawe badilika!
 
Pole sana kaka sipingani na wewe hata kidogo coz nimeona haya mambo pia kwa watu kadha wa kadha nilio nao karibu

Siku hizi makanisa yamekuwa janga,tena bora wa kwako ana kazi yake wengine ni mke anapewa pesa ya tumizi na mumewe ila inaishia kwa mchungaji sio sawa kwa kweli

Plus kila kitu lazima kiwe na kiasi na hata maandiko yenyewe yanasema asiyejali wa kwake ni mbaya kuliko asiyeamini so hata dini inatambua kuwa mtu anapaswa kuwajbika kwa ajili ya familia yake

Ulikosea kitu kimoja tu kumpiga basi ungemwachaga tu kimya kimya unaweza ukakuta unaua kwa mtu ambaye kashakuwa addicted sikio la kufa.
 
Ndg mpe mkakati wako unavyotaka kuishi, kama ataweza, kakishindwa mwambie akaolewe na kabisa, mshahara uuone mpangie sadaka
 
Pole Baba wewe unapita njia kama yangu mimi mme anaweza kunitenga mwaka eti mtumishi wa Mungu, hata Siku akija kunitembelea nyumban analala sebuleni anaomba tunaweza kukaa hata mwaka hajanigusa maana amehamia mkoa mwingine anajiita mchungaji sipewi hata sh 10 anajifanya anajenga makanisa Sijui mchungaji napata tabu hadi nimeanza kujisugua na vidole kwenye k hadi namaliza maana sina jinsi.
 
Enyway umeongea upande mmoja Wa shilingi, yaani upande wako, but hatujui upande wake anasemaje kwa yote hayo. Kama sio tungo basi ujue hapo ulifanya inshu mbaya.

Mambo ya dini kwa wenye dini zao, ukute angeolewa na MTU Wa sampuli yake muda wote wangekuwa huko kwenye misa.

Wewe unaoa mtu Wa misa ilihali wewe si MTU Wa misa wapi na wapi..!
Mchango mtamu sana huku
 
Ana bwana wake huko na hamuachi kamwe! Mbona hii ndio kesi ya kwanza kusikia na walokole wapo kibao tu
 
Sina kumbukumbu vizuri ya mwaka 2008 au 9 nilikuwa na mahusiano na mtoto mmoja alikuwa anasali kwa Kakobe.

Kila mwanzo wa mwaka walikuwa wanafanya declaration ya mapato, salary slips, bank statements ni lazima upeleke.

Unajaza mpaka kipengele cha unapewa ngapi na mpenzi, wazazi na zawadi gani kutoka kwa nani.

Tulikuja kuachana baada ya mambo kuanza kulinda nguzo za umeme zisipitishwee
 
Miezi miwili iliyopita nilipelekwa polisi na wazazi wa mke wangu, kwa kosa la kumpiga binti yao karibu nimuue, ndugu walikuja kunitoa

Iko hivi;
Huyu binti nilimuoa miaka miwili iliyopita na tuna mtoto mmoja, yeye na wazazi wake wote wameokoka, Hivi sasa naweza kusema kwamba mke wangu ameolewa na kanisa na si mimi.

Akitoka kazini saa kumi na moja jioni anakwenda kwenye maombi kanisani hadi saa tatu , na hii ratiba ni kila siku Monday to Friday, Jumamosi pia wanakwenda Jumapili ni kutwa nzima, wakati mwingine kuna mkesha katikati ya wiki, hali hii, imefanya ashindwe hata kupataa muda wa kumlea mtoto wetu wa mwaka alielazimika kumwachisha ziwa akiwa na miezi mitatu kutokana kubanwa na mambo ya kanisa.

Mtoto huyu ni kama amebadilishiwa mama, maana sasa analelewa na house girl wetu kwa hali na Mali
Ilifika pahala nikashindwa kuvumilia hali hii na nikamuita na kumueleza hali halisi na kumtaka abadilishe ratiba zake, akadai kwamba hana jinsi kwa kua ratiba ya kanisa kwake haina substitute , nikamwambia ni amri sio ombi

Akaendelea hivyo hivyo, kwa Mara ya kwanza nilimpa kipigo kwa kukaidi amri yangu, niliendelea kumpiga mara kwa Mara sababu ikiwa ni kanisa, kila tunapoitwa kusuluhishwa wazazi wake humtetea na kudai walikosea kunipa mm binti yao, ikawa tunagombana na wazazi wake vikaoni hadi nikaamua kuachana na vikao.

Mwanzoni mwa mwezi wa sita alidai kuna mkesha wa maombi siku hiyo na hivyo atalala huko, nikamwambia ukitoka huko utafute nyumba nyingine, baadae mama yake akanipigia kwamba kuna mkesha hivyo wote watalala church kwenye mkesha, nikamjibu haiwezekani wamruhusu wife arudi kwa kuwa ana mtoto mdogo, akakata simu

Kweli, wife hakurudi, ila kila saa alikua akinipigia simu karibu usiku kucha nami sikua napokea naiangalia tu hadi inakatika hadi saa kumi alfajiri, alikuja amesindikizwa na dada yake maana walijua nimekasirika sana

Walipofika tu niliwakamata wote wawili na kuwapa kipigo kizito sana hadi wife kuzirai, dada mtu aliniponyoka na kukimbilia main road huku nikiwa nimemtengua mbavu akapanda boda boda, saa moja wazazi wa wife wakaja nilikua nimemfungia stoo wakamchukua wakaenda nae.

Baadae wakanifuata kazini na polisi wakaniweka ndani kwa shambulio la kudhuru mwili, nilitoka kesho yake , kesi ikahamia Ustawi wa Jamii tuliitwa pale, mbele ya wazee wa pande zote, ikaamriwa kwamba binti arudi kwa wazazi wake hadi hapo baadae hali ikiwa nzuri, ila wazazi wake wakasema wanamchukua kimoja hawanihitaji tena, kwamba nisubiri taratibu za talaka, nikasema haina shida nipo tayari, tukaja nyumbani wakamchukua mtoto na hg na nguo zake wakarudi kwao

Nimeyasahau hayo naishi kwa auheni kiasi kwa sasa Ingawa bado nina msongo, surprisingly Friday wife akanifuata kazini hatukua tumeonana for two months, roho yangu iliingia kitu flani hata mtoto wangu sikutaka hata kuwa naenda kumuona ingawa pale ustawi wa jamii niliruhusiwa

Wife akaniomba tuongee, akasema anahitaji turudiane, akadai anaomba arudi home kwangu hata kesho yake ikiwezekana, kwamba ananipenda, kwamba tutarekebisha tu, nikamwambia haiwezekani simtaki tena

Wadau wana Jf, nimemwambia atafute Mme mwingine kanisani kwao ndo watawezana na sio Mimi, mke wa hivi hanifai, hata mshahara wote anapeleka huko, hilo kanisa Jumapili moja tu kuna sadaka kama 12 hivi tangu asubuhi hadi jioni, unaweza kwenda na laki mbili usirudi hata na shilingi jioni, bado katikati ya wiki, halafu wachungaji wanaishi kifajari.

Huyo mchungaji wa hilo kanisa ameshawateka akili, mimi binafsi nilikua huko nikahama kutokana na hiyo biashara ya kutakiwa kushinda huko 24/7 na pia kutumia sehemu kubwa ya mapato yangu kanisani badala ya kujenga familia, kanisa gani wanaomba hadi salary slip? Na usipowapa watakusema sana kwamba umepotea njia na kadhalika
Kanisa gani halijali ndoa za watu?

Sio kwamba sipendi mke wangu aende kanisani, aende kwa kiasi na ratiba akizingatia kuwa yeye ni mama wa familia, inapaswa kwenda kanisani unashiriki na wenzako mchana au jioni unarudi home, jumatano unakwenda kwa maombi masaa mawili, six jioni unarudi kwako, there will be nothing wrong, lakini huwezi kwenda kushinda huko 24/7. Seven days a week, inakuja kweli hiyo?

Hata dada wa mke wangu niliempiga, mumewe pia alikuja kwangu na malalamiko kama haya ya kwangu, nimeamua simtaki tena, kwanza akili yangu imeshachanganyikiwa,
Nonsense

Ni bora nirudi kwa Rachel, alinivumilia tangu chuo hadi mtaani nikamtendea vibaya nikaoa mlokole nisiemjua, kwa kweli najuta sikujua nachofanya.
Pole ILA mkiambiwa muoe mke wa Pili na watu na wanne mnaona Mungu kakosea. Huyo ungemuacha na maombi halafu unaoa mke wa Pili maisha yanaendelea. Hukua na haja ya kumpiga. Ona sasa ushavuruga alichokiunganisha Mungu. Hakuna kitu kibaya cha halali kama talaka. Huwa inakuwaga the very last option baada ya kufuata hatua mbali mbali ngum sana.
 
Mwanamke ukimsamehe leo akikaa anasahau atarudia tena yaani ni kama inzi unamfukuza kwenye kidonda bado atarudi mpaka umuue ndiyo anaacha mwanamke wa kilokole ni janga tupu! Mimi nahisi wale wachungaji huwa wanawaroga Waumini wao maana hawasikii nyie mnampelekea hela anajenga mahekalu na kununua magari ya kifahari wewe bado unatembela baiskeli ya swiswiswi! Acha nae angalia jinsi ya kumlea mwanao .
Kaka wewe mlee mtoto wako huyo achana naye
 
Back
Top Bottom