Vipi ndugu unataka kujilipua?
Nalitengeneza Bom mkuu maana maisha haya daah yanaumiza kweli yaaniVipi ndugu unataka kujilipua?
Mimi huwa natumia asali. Ngoja niunge asali yangu nione kama huu uji utanyweka!Huu ni uji bila sukari.
Dunia yake inaenda kasi sana, juzi kaoa leo keshasalitiwa.binti kiziwi Kumeshakucha tena huku. Lol. 😅😅
Jamaa ana IDs nyingi sana humu, nahisi hata 10 anafikishawe lumbumbashi si umeoa juzi tu hata week bado.
Ukitaka kumla bata, sharti uache kumchunguzaNawashauri vijana kabla hamjaoa jaribu kumchunguza huyo mke wako kabla haujafikia hatua ya kumuoa.