Najuta kujipendekeza kuoa

Najuta kujipendekeza kuoa

acha kuuliza maswali ya kijinga wewe sasa unauliza aliyemgonga ili iweje?
Ukisoma hapo hakuna mahala nimesema niliuliza nani alimgonga?! Mie totally niliamini ile list ya watu 3 ya miaka hiyo hivyo hata sikua na shaka nayo, ila jana ndo akafunguka ya wa 4 ambapo hata sikumuuliza hayo ndo hapo nikapigwa na butwaa mpaka sasa aahamini kama nampenda tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisoma hapo hakuna mahala nimesema niliuliza nani alimgonga?! Mie totally niliamini ile list ya watu 3 ya miaka hiyo hivyo hata sikua na shaka nayo, ila jana ndo akafunguka ya wa 4 ambapo hata sikumuuliza hayo ndo hapo nikapigwa na butwaa mpaka sasa aahamini kama nampenda tena

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa maelezo yako ulisema ulikuwa unambembeleza ili afunguke zaidi that means wewe ulimuwekea mtego wa kutaka kujua.. usiwe unachokonoa mambo magumu usiyoweza yabeba
 
kwa maelezo yako ulisema ulikuwa unambembeleza ili afunguke zaidi that means wewe ulimuwekea mtego wa kutaka kujua.. usiwe unachokonoa mambo magumu usiyoweza yabeba
Kumbembeleza ilikua baada ya kutaja huyo mtu ambaye hata sikuwaza kama kuna kitu cha namna hiyo, ndo ikabidi nibembeleze anitajie ukweli tu, nilimwambia anitajie ili awe na amani ya moyo kabisa maana alivyotaja vile akawa analia tu, ila akasema hamna mwingine basi nikabembeleza hadi akakaa sawa ila mie ndo sipo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbembeleza ilikua baada ya kutaja huyo mtu ambaye hata sikuwaza kama kuna kitu cha namna hiyo, ndo ikabidi nibembeleze anitajie ukweli tu, nilimwambia anitajie ili awe na amani ya moyo kabisa maana alivyotaja vile akawa analia tu, ila akasema hamna mwingine basi nikabembeleza hadi akakaa sawa ila mie ndo sipo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
pole mkuu ila usije waza kuendelea kumla jicho basi
 
Hiyo kitu sijawahi fanya na wala sitakaa nimwambie maana tangu awali nilimdanganya, yeye anajua niliwahi kulala na wanawake 5 ila uhalisia ni zaidi ya 30 so ni kitu ambacho hapaswi kujua hiyo idadi ila bora asingeniambia maana mie niliuliza tu aliwahi kumkisi? Ye akasema kabisa na kugegedwa kitu ambacho sikuwaza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unakasirika nini wakati ulikuwa na msururu wa mademu? Mmekutana ngoma droo, nahisi yeye atakuwa amefikisha idadi ya 60
 
Si kila muda mna discuss maendeleo tu, mtakua maroboti sasa... Kuna muda mnajiachia na mastory ya miaka hiyooo whether kwa kukumbushiana through picha za zamani au hata story tu.. Sasa katika story hizo ndo anaamua kufunguka kitu ambacho hata hukuwazia ndo maumivu nayoyahisi hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa unaumia kwani ulimkuta bikra??? au hao waliopita wameondoka nayo au wameiacha!??

Acha kulia lia mtoto wa kiume watu wanaambiwa mazito itakua wewe wa nne tu. lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom