Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Piga masta
:dizzy::A S 39:...
Piga masta
Usintake kunifananisha na Profesa Maji Marefu bureeee, mi ugomvi na familia yenu sitaki, nimeokoka siku hizi, niko Busy na fellowship kwa Mwinjilisisti Zion Daughter
KisumbusiHaujoondolwaga ile kitu yenye antena kweli?, kwani we kabila gani?
Usintake kunifananisha na Profesa Maji Marefu bureeee, mi ugomvi na familia yenu sitaki, nimeokoka siku hizi, niko Busy na fellowship kwa Mwinjilisisti Zion Daughter
Utamfukuzia bure kondoo wake anaowakusanya kwa kufunga na kuombaFamilia yetu ina upako wala sio wagomvi. Si unaona mwenyewe binti yetu Zion Daughter ni Mwinjilisti siku hizi.
Nifanyeje ili na mimi niweze kufika kileleni kwani wasichana wengine wanasema wanasikia raha sana...Naomba mawazo yenu...
Utamfukuzia bure kondoo wake anaowakusanya kwa kufunga na kuomba
mwaJ kwanini kila siku mnaanguka wakati wa maombi na kuanza kuongea Kiarabu? Wenzenu tumefunga na tunafanya maombi ya siri ili hiyo misauti inayotoka ndani mwenu na kusema kiti yangu kiti yangu iwatoke kabisaSiwezi kumfukuzia maana sisi tunaomba pamoja nae.
Hawa wamemchukua mwaJ:A S shade:
Piga masta
Bujibuji nimekwishagundua ni kwanini unafanya bidii ya kuibadilisha agenda iliyoko mezani.mwaJ kwanini kila siku mnaanguka wakati wa maombi na kuanza kuongea Kiarabu? Wenzenu tumefunga na tunafanya maombi ya siri ili hiyo misauti inayotoka ndani mwenu na kusema kiti yangu kiti yangu iwatoke kabisa
Bujibuji nimekwishagundua ni kwanini unafanya bidii ya kuibadilisha agenda iliyoko mezani.
Nazjaz alijitolea kukupeleka ng'ambo ya malawi ili kupata matibabu baada ya kupigwa chini na mama watoto wangu mwaJ.
Ni ajabu kwamba baada ya mwezi mmoja Nazjaz amekuja tena hapa kulalamika kwamba hafikishwi mwisho wa safari. Hahahaha aisee unahitaji maombi kwa kweli jamaa yangu...
mwaJ kwanini kila siku mnaanguka wakati wa maombi na kuanza kuongea Kiarabu? Wenzenu tumefunga na tunafanya maombi ya siri ili hiyo misauti inayotoka ndani mwenu na kusema kiti yangu kiti yangu iwatoke kabisa
DuhhhhhSiku hizi hatusemi kiti, tunasema kochi langu kochi langu. Inabidi uongeze maombi.