Mwita Maranya, kweli nilijitolea kumpeleka buji India akakataa, akasema tumpeleke Malawi.Nikajikusanya mwanamke wa watu, nikamtafutia visa, he...... kufika airport akapotea kwenye mazingira yasiyoeleweka. Huyu inabidi awe anafungwa kamba kila aendapoBujibuji nimekwishagundua ni kwanini unafanya bidii ya kuibadilisha agenda iliyoko mezani.
Nazjaz alijitolea kukupeleka ng'ambo ya malawi ili kupata matibabu baada ya kupigwa chini na mama watoto wangu mwaJ.
Ni ajabu kwamba baada ya mwezi mmoja Nazjaz amekuja tena hapa kulalamika kwamba hafikishwi mwisho wa safari. Hahahaha aisee unahitaji maombi kwa kweli jamaa yangu...
Vichche @ work.mkuu ni pm,nitakupa dawa ya kukufanya uwe unalikumbuka tendo hilo kwa raha utakayoipata