Najivunia sana mama yangu ambaye alikuwa Single Mother

Najivunia sana mama yangu ambaye alikuwa Single Mother

Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo saiv wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
Namna unavo wasilisha hoja, namna uvo andika maneno yako na unavotaka tuyatamke, ni dhahiri kwamba kuna moja kati ya haya mawili limepelekea kukuharibu sakili, maana umewehuka kabisa
1-uliruka stage unavobarehe.
2-bado hujamaliza kubarehe.
 
Namna unavo wasilisha hoja, namna uvo andika maneno yako na unavotaka tuyatamke, ni dhahiri kwamba kuna moja kati ya haya mawili limepelekea kukuharibu sakili, maana umewehuka kabisa
1-uliruka stage unavobarehe.
2-bado hujamaliza kubarehe.
Eroh mbona unakasirikia kijana
 
Sitetei kutelekeza familia ila
1. Unajua chanzo ya wao kuachana au umekuja tu kuleta uliyoambiwa na mama yako?
2. Wewe ni wa kike au kiume? Kama ni wa kiume na huo mwandiko, tumepoteza nguvu kazi.
3. Suala la single parent (hasa single mother) sio la kujivunia. Linachangia mmomonyoko wa maadili kwenye familia na jamii. Yaani huyo single mother kila mwanaume anajipigia tu na kuondoka zake. Wanafundisha nini watoto wao wa kike na kiume?

Yote kwa yote. Wanaume tuache kuzalisha ovyo ovyo. Ni bora ubaki single na ule tu maisha kuliko kuzalisha ovyo ovyo. Hiyo ni mbaya.
Naunga mkono hoja
 
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo saiv wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
Mama yako alikuambia sababu za baba kukimbilia kwa mchepuko?
 
Bado utoto unakusumbua, ukiwa mtu mzima utaelewa kwanini baba ako alikimbia hiyo dhahama!
 
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo saiv wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
Usimchukie baba yako kwanza humjui baba yako au kosa sio lake utakuta mama yako alifumaniwa baba yako akaona isiwe kesi akasepa
 
Pole na hongera kwa kulelewa na single mom, mtunze sana mama ako, mfute machozi, mbusu mikono yake, baraka zizidi kumiminika katika maisha yako.
 
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo saiv wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
Tunamshukuru huyo baba yako aliyekuchagulia mama bora na imara. Angezaa na mama lialia asiyewajibika huenda usingekuwa hapo. Baba ni baba bora he chose the best mother for you.
 
Back
Top Bottom