Najivunia sana mama yangu ambaye alikuwa Single Mother

Najivunia sana mama yangu ambaye alikuwa Single Mother

Nasian Ressy

Member
Joined
Jul 12, 2026
Posts
68
Reaction score
150
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo saiv wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
 
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nikawa mtu mzima. wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Sitetei kutelekeza familia ila
1. Unajua chanzo ya wao kuachana au umekuja tu kuleta uliyoambiwa na mama yako?
2. Wewe ni wa kike au kiume? Kama ni wa kiume na huo mwandiko, tumepoteza nguvu kazi.
3. Suala la single parent (hasa single mother) sio la kujivunia. Linachangia mmomonyoko wa maadili kwenye familia na jamii. Yaani huyo single mother kila mwanaume anajipigia tu na kuondoka zake. Wanafundisha nini watoto wao wa kike na kiume?

Yote kwa yote. Wanaume tuache kuzalisha ovyo ovyo. Ni bora ubaki single na ule tu maisha kuliko kuzalisha ovyo ovyo. Hiyo ni mbaya.
 
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo saiv wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
mtafute baba ako muombe msamaha bado ujaelewa vizuli
 
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo saiv wa mama wanaweza hakuna kama mama ila ww baba sikutambui kama mzazi wangu.

mim namtambua tuh mama yangu kipenz
Usihifadhii chuki moyoni.. yote mipango yake maulana.

Mchukie mtu kwa sababu otherwise UPENDO UNA NGUVU KULIKO CHUKI..

NB. VICE VERSA IKIWA MZEE ALIKUKATAA KIKWERI KWERI HAPO SAWA ILA KAMA MZEE ALIKUKATAA SABABU YA UGUMU / HUSTLE ZA KIUME USIBEBE CHUKI ZA HUYO MAMA AKO SINGLE MOTHER
 
Back
Top Bottom