Wanaume Tumeumbwa Mateso~Mateso Kuhangaika
By Hayati Maalim Ngurumo! !!!
Bila kusahau kua dependent.!
Raha tupu
sasa mbona mara nyingi huwa mnalalamika sana kuwa mko kwn disadvantage? muwe mnjiamini ili tuwasifie siyo kulalamika tu. sisi wanaume tunahangaika kuwahonga, kuwalipia hoteli, kuwanunulia vitz kama nansi, nk alafu kwenye 6×6 nyie mnaenjoy kwa >80%! I wonder if God is a woman kama alivyosema Shaggy kwn wimbo wa STRENGTH OF A WOMAN
Najivunia kua wa kiume
ndiyo maana hawabebi mimba
![]()
Ila mziki wake unaupata....
Hapo tu ndio mnapotumaliza. ningekuwa nimerekodi gharama zote nilizotumia kwa wanawake hadi sasa kwn ndoa ningefanya maamuzi magumu ya kujikata dushe
Si mpaka umpate!