Najiuliza tu Samia utamjibu na Gwajima?

Najiuliza tu Samia utamjibu na Gwajima?

Tumezoea kusikia Vijembe kila kukicha kutoka kwa Madam president.

Na vijembe hivi hu vidirect kwa watu wanaokosoa na kusema uongozi wake..

Najiuliza Je na la gwajima atajibu mipasho tena?

Labda ataogopa kupuliziwa Pepo.
 
U znz wa madamu sasa umeleta haya watanganyika wamechoka
 
Siasa za Kenya zitaingia Tanzania. Makosa ya kisiasa yataanikwa kama Samia kupitishwa bila kupigiwa kura kuwa mgombea Urais yatazungumzwa na CCM wenyewe na siyo Tundu Lissu na Heche. Subiri bunge livunjwe makundi ya mnyukano majimboni uanze. Mhe. Askofu Gwajima ni mmoja waliokwisha ngamua hatakiwi au hautaki ubunge. Wataongezeka wengine na hata wale walioachwa na Magufuli.
 
"Hivyo ni vijidrama vya Askofu" kwa sauti ya Madam Presidaa
 
Hapo naona COVID Halima atapewa Jimbo kwa ticket ya CCM au atapewa Chauma
 
Walete hoja zingine sasa kila mpinzani akija hoja ni za utekwaji wa wanasiasa, hasa hoja zao chache uki compare na mambo aliyotufanyia Rais Samia
 
Walete hoja zingine sasa kila mpinzani akija hoja ni za utekwaji wa wanasiasa, hasa hoja zao chache uki compare na mambo aliyotufanyia Rais Samia
Unaweza ukanitajia mambo matatu ambayo ameyafanya mkuu
 
Tumezoea kusikia Vijembe kila kukicha kutoka kwa Madam president.

Na vijembe hivi hu vidirect kwa watu wanaokosoa na kusema uongozi wake..

Najiuliza Je na la gwajima atajibu mipasho tena?
Kuna code humu zinasema 29-30 May Dodoma kuna jambo tusubiri, nyingine inasema July siyo mbali sasa sijui kuna nini
 
wew ni kichwa box, zwazwa yan kichwani umejaza matope. samahan lakin kama nimekukwaza ila ulicho comment kinaonesha hivo
 
Kuna mstaafu alisema 2025 mgombea ni huyuhuyu labda MAMBO YAHARIBIKE SANA. Vipi kama kuharibika kwenyewe ndo huku bi mkubwa awe makini na deep state wanaweza kuwa wanamshauri kwa manufaa yao wenyewe alafu pressure kwake inakuwa kubwa kila leo
 
Back
Top Bottom