Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,610
Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni.
Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.
Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.
Karibuni wadau
Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.
Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.
Karibuni wadau