Hivi kweli unadhani ccm wanaweza wakaleta upinzani wa kweli? Hapana aiseee why? Kwasababu wao kinachowaunganisha sio dhamira ya kuitetea nchi bali maslahi yao binafsi. Kwahio kamwe hawawezi kuwa pamoja kama wasivyokiwa wamoja sasa hivi....
Nikiwa naanza kufungasha ,sasa najitayarisha kuelekea Chama kinachoelekea kuwa kipya katika kambi ya Upinzani hapo mwakani punde tu baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.
Nia ni kuhamia CCM na kuhamasisha upinzani ,upinzani dhidi ya vyaChama Tawala kitakachotokana na UKAWA .Sababu kuu hupenda sana kuwepo upande wa upinzani na si vinginevyo.
Nitapambana na serikali hiyo hata kama inaongoza nchi sawasawa ,mpaka waelewe kuwa uongozi si lelemama na ni zamu yao kubeba lawama hata za kutunga au za uongo.
Wapenda maendeleo wote wa nchi hii msilemae na UKAWA njia ni moja tu ,tujiunge na CCM pindi tu kitapojiunga na upinzani hapo 2016.
Sidhani kama kitakuwepo pindi kitakapotoka madarakani, 1992 wakati wakusajili vyama CCM hawakujisajili kama chama. Na hakuna ushahidi wa kuonyesha CCm kimesajiliwa katika vyama vya Siasa Tanzania. Mwiba CCM kinaishi kwa ubabe wa Viongozi wake lakini hakijasajiliwa, pindi kitakapo toka madarakani ndio mwisho wa hicho chama, kinaweza kufutwa au kiombe upya usajili
Lol mapya haya
Mkuu Mwiba utajiunga ili ukiimarishe au..?
Wakati huo Lowassa atakuwa kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani bungeni.
Nikiwa naanza kufungasha ,sasa najitayarisha kuelekea Chama kinachoelekea kuwa kipya katika kambi ya Upinzani hapo mwakani punde tu baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.
Nia ni kuhamia CCM na kuhamasisha upinzani ,upinzani dhidi ya vyaChama Tawala kitakachotokana na UKAWA .Sababu kuu hupenda sana kuwepo upande wa upinzani na si vinginevyo.
Nitapambana na serikali hiyo hata kama inaongoza nchi sawasawa ,mpaka waelewe kuwa uongozi si lelemama na ni zamu yao kubeba lawama hata za kutunga au za uongo.
Wapenda maendeleo wote wa nchi hii msilemae na UKAWA njia ni moja tu ,tujiunge na CCM pindi tu kitapojiunga na upinzani hapo 2016.
Kwa ujumla CCM imeshinda kwa asilimia 80, unajua hilo mkuu?