Wana JF ninahitaji miche ya Matunda. Ni sehemu gani dar es salaam au Bagamoyo ninaweza kupata miche mizuri na kwa bei nafuu. Ninahitaji zaidi ya miche 300. Miche ya maembe na mapapai
nairobi inapatikana mingi xana
Asante mkuu. Nitajaribu kupatembeleaKituo cha Kilimo pale Kiromo Bagamoyo nadhani kinaitwa Chambezi
Sokoine university kuna miche na ni bei chee kweli. Kwa miche 300 unaweza kujisababishia safari tu ukaenda.
Mkuu hivi ipogo Miche ya mtindo kama huo?Wana JF ninahitaji miti ya miembe inayozaa baada ya mwaka mmoja. Nitaipata wapi bongo?