Najisikia kukiri hapa jamvini, naruhusiwa?

Najisikia kukiri hapa jamvini, naruhusiwa?

Hongera sana na Karibu sana Mkubwa. Uamuzi wa msingi na wa busara saana. Angalia hapa chini

Ufunuo wa Yohana 2:5 ''Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu''

Kila la kheri kaka.

Ahsante mkuu nimekusoma na kukuelewa deeply na nitayafanyia kazi.
 
Hii toba isikilzwe ikiambatana na zaidi ya robo ya wanajf wanaume!! Eeh maulana tunaombwa uipokee!!
 
Haya jamani,naamini kuna baadhi nitawakwaza humu but ndio khali halisi,mama yoyo najua uko humu am sorry kwanza,.
Nakumbuka baada ya kubarehe na kujua nini maana ya papuchi nilizitumia kweli ipasavyo,kutokana na uwezo wa kifedha aliokua nao mzee wangu niliwapanga wadada kwelikweli,tatizo kubwa linalonifanya najihisi vibaya najuta kufanya mauaji mengi sana ya viumbe wasio na hatia,bahati mbaya niliyokua nayo mpaka hivi karibuni nilivyoamua kuacha kila mdada ingawa si wote niliecheza nae bila kinga wengi waliishia kunasa mimba zangu na kwa vile senti zilikuwepo sikupenda kulea au kuwa na mtoto,najisikia vibaya niliwatoa mimba mabinti wengi tu ambao sikumbuki idadi yao,truly ingawa nilijiona kidume na sasa hivi nina familia yangu najihisi guilty kwa matendo yangu hayo,najua tuko wengi humu kinadada na wanaume tuliokwishafanya matukio kama haya najiuliza how do we feel now ukikumbuka hili jambo?me binafsi pamoja ilikua ni ujana najihisi hatia kubwa sana moyoni,kwa wale niliowafanyia kitendo hiki am very sorry,na pia naomba Mungu anisamehe kwa vitendo hivi vibaya.

sikuhukumu ila kama ni mkristo mkatoliko nenda kaungame na utapewa malipizi yako.. asante
 
Hii laana itahamia kwa mabinti zako. Utatendewa kama ulivyowatenda mabinti wa wenzako na ufalme wa mbingu utafanya kuusikia tu. 1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."

mkuu BabM kama ametubu kweli kwa Mungu kwa kumaanisha na si kwa kuandika tu hapa JF anasamehewa kabisa! dhambi zenu/zako zijapokuwa nyekundu kama damu zitakuwa nyeupe kama theluji.
 
Mithali 28:13 inasema afichaye dhambi zake hatafanikiwa bali azitubuye na kuziacha huyo atapata rehema....umefanya jambo jema kukiri sasa wewe chukua hatua ya kutubu na kuziacha dhambi kabisa.Mungu wetu ni mwingi wa rehema na fadhili anapendezwa na roho iliyovunjika na kupondeka mbele zake Zaburi 51:16-17.
 
Haya jamani,naamini kuna baadhi nitawakwaza humu but ndio khali halisi,mama yoyo najua uko humu am sorry kwanza,.
Nakumbuka baada ya kubarehe na kujua nini maana ya papuchi nilizitumia kweli ipasavyo,kutokana na uwezo wa kifedha aliokua nao mzee wangu niliwapanga wadada kwelikweli,tatizo kubwa linalonifanya najihisi vibaya najuta kufanya mauaji mengi sana ya viumbe wasio na hatia,bahati mbaya niliyokua nayo mpaka hivi karibuni nilivyoamua kuacha kila mdada ingawa si wote niliecheza nae bila kinga wengi waliishia kunasa mimba zangu na kwa vile senti zilikuwepo sikupenda kulea au kuwa na mtoto,najisikia vibaya niliwatoa mimba mabinti wengi tu ambao sikumbuki idadi yao,truly ingawa nilijiona kidume na sasa hivi nina familia yangu najihisi guilty kwa matendo yangu hayo,najua tuko wengi humu kinadada na wanaume tuliokwishafanya matukio kama haya najiuliza how do we feel now ukikumbuka hili jambo?me binafsi pamoja ilikua ni ujana najihisi hatia kubwa sana moyoni,kwa wale niliowafanyia kitendo hiki am very sorry,na pia naomba Mungu anisamehe kwa vitendo hivi vibaya.
usijali hakuna dhambi isiyosamehewa...kasali rozali siku 3 mfululizo nawe utakuwa mpya tena pasipo mawaa
 
Back
Top Bottom