Najisikia kukiri hapa jamvini, naruhusiwa?

Najisikia kukiri hapa jamvini, naruhusiwa?

Haya jamani,naamini kuna baadhi nitawakwaza humu but ndio khali halisi,mama yoyo najua uko humu am sorry kwanza,.
Nakumbuka baada ya kubarehe na kujua nini maana ya papuchi nilizitumia kweli ipasavyo,kutokana na uwezo wa kifedha aliokua nao mzee wangu niliwapanga wadada kwelikweli,tatizo kubwa linalonifanya najihisi vibaya najuta kufanya mauaji mengi sana ya viumbe wasio na hatia,bahati mbaya niliyokua nayo mpaka hivi karibuni nilivyoamua kuacha kila mdada ingawa si wote niliecheza nae bila kinga wengi waliishia kunasa mimba zangu na kwa vile senti zilikuwepo sikupenda kulea au kuwa na mtoto,najisikia vibaya niliwatoa mimba mabinti wengi tu ambao sikumbuki idadi yao,truly ingawa nilijiona kidume na sasa hivi nina familia yangu najihisi guilty kwa matendo yangu hayo,najua tuko wengi humu kinadada na wanaume tuliokwishafanya matukio kama haya najiuliza how do we feel now ukikumbuka hili jambo?me binafsi pamoja ilikua ni ujana najihisi hatia kubwa sana moyoni,kwa wale niliowafanyia kitendo hiki am very sorry,na pia naomba Mungu anisamehe kwa vitendo hivi vibaya.

Boraaa mkuuu umetemaa sumu......ilaaa tumekuelewaaa........katubuuu kwa mungu wakoo....atakusamehe kabisaaa...coz huyoo dhambi nimbayaa Sana'a. Ina kula familia a ...watoto wako wanwezakuja kua Kama wewe
 
Boraaa mkuuu umetemaa sumu......ilaaa tumekuelewaaa........katubuuu kwa mungu wakoo....atakusamehe kabisaaa...coz huyoo dhambi nimbayaa Sana'a. Ina kula familia a ...watoto wako wanwezakuja kua Kama wewe

Nawaombea kwa Mola isijekuwatokea hii kitu.
 
Jisamehe mwenyewe kwanza,that's the first process of healing!Afu tubu kwa Mungu kikweli kweli,atakusamehe na kusahau!
 
Kutoa mimba ni kosa gani hembu nielezee kidogo. Na kama ni kuua , unawezaje kuua kitu ambacho hakiishi???

Maisha ni nini?

Uhai ni nini?

Kifo ni nini?

Kuua ni nini?

Ukiweza kujibu maswali hayo manne kwa ufasaha pengine akili yako itaelewa jambo fulani...
 
Haya jamani,naamini kuna baadhi nitawakwaza humu but ndio khali halisi,mama yoyo najua uko humu am sorry kwanza,.
Nakumbuka baada ya kubarehe na kujua nini maana ya papuchi nilizitumia kweli ipasavyo,kutokana na uwezo wa kifedha aliokua nao mzee wangu niliwapanga wadada kwelikweli,tatizo kubwa linalonifanya najihisi vibaya najuta kufanya mauaji mengi sana ya viumbe wasio na hatia,bahati mbaya niliyokua nayo mpaka hivi karibuni nilivyoamua kuacha kila mdada ingawa si wote niliecheza nae bila kinga wengi waliishia kunasa mimba zangu na kwa vile senti zilikuwepo sikupenda kulea au kuwa na mtoto,najisikia vibaya niliwatoa mimba mabinti wengi tu ambao sikumbuki idadi yao,truly ingawa nilijiona kidume na sasa hivi nina familia yangu najihisi guilty kwa matendo yangu hayo,najua tuko wengi humu kinadada na wanaume tuliokwishafanya matukio kama haya najiuliza how do we feel now ukikumbuka hili jambo?me binafsi pamoja ilikua ni ujana najihisi hatia kubwa sana moyoni,kwa wale niliowafanyia kitendo hiki am very sorry,na pia naomba Mungu anisamehe kwa vitendo hivi vibaya.

Hongera sana kwa kukiri dhambi mkuu, ila wanaume katika ujana wetu huwa tunafanya mambo makubwa sana kwa dada zetu. Kuna jamaa nilisoma nae chuo baadae akapata kazi akawa na kipato kizuri sana. Alikuwa analala hata na wasichana watatu kwa siku, hakuwa na aibu hata chembe!
 
Nikupongeze kwa kutambua ulifanya kitu kibaya kwa kushiriki kwa namna moja au nyingine kuutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Mtu sio wingi wa nyama au ukubwa wa mwili, Bali mimba ikishwatungwa tayari huyo ni mtu tofauti yake na mtu wa miaka 20 ni ukomavu na ukubwa wa mwili n.k n.k. Japo kuna waliowahi kuadhibiwa na Mungu kwa kutupa mbegu (semen) Hapa kupachimba ni parefu tupaache kwa sasa.

Nikutie moyo kuwa Mungu ni wa huruma, ''1 Yahana 1:8-9 Tukisema kwamba hatuna dhambi, tunajidanganya wenyewe na ukweli haumo ndani yetu. Lakini TUKIZIUNGAMA dhambi zetu, basi Mungu ni Mwaminifu na Mwadilifu, naye atatusamehe zambi zetu na kututakasa na UOVU wote''

Kwa kuwa umetambua na kujuta na kutaka kweli msamaha, Yeye yupo na anawatafuta watu waliopondeka mioyo kama wewe. Huhitaji kwenda kusema kwa jamii kama mdau alivyoshauri hapo juu maana jamii yenyewe haijui na haipaswi kujua maana kuna wengine utawasababishia vidonda vipya visivyo na ulazima na pengine kupoteza zaidi uhalali na nafasi yako maana kwenye jamii yetu yule anayesema ndio anaonekana ni mchafu sana ila wale wa kimya kimya wanaonekana ni wema sana kumbe ni wabaya zaidi pengine.

Mungu ni wa Huruma sana, Tenga muda wako wa kuomba,
kusali na kufunga. Na Zaburi ya 51 ikuongoze na yeyote yule anayependa kufuata njia yako Zaburi ya 51 ni ina vitu vya msingi sana.

Umempa mkate wenye nutrients muhimu sana. Lakin, hivi kwani alifanyia mambo yote hayo hapa jamvini? Kwa nini asitubu kwao aliowafanyia hayo? Au kama anaogopa kuwaona mmoja mmoja, kwa nini asishuke magotini akamwambia Mungu amfutie jina lake kwenye daftari ya giza na kumwandika kwenye daftari la uzima, kasha akashikilia sana maamuzi hayo na kuyaishi? Nadhani hapa anatoa burudani tu hata kama atasema na zaidi. Tunaambiwa hatupati tuyatakayo kwa sababu hatuombi. Na kama tunaomba, ati tunaomba vibaya!!! Kwa kutata sifa na kwa ubaya ndani yetu na Mungu haruhusu hayo. I tell youoooooh!
 
Umempa mkate wenye nutrients muhimu sana. Lakin, hivi kwani alifanyia mambo yote hayo hapa jamvini? Kwa nini asitubu kwao aliowafanyia hayo? Au kama anaogopa kuwaona mmoja mmoja, kwa nini asishuke magotini akamwambia Mungu amfutie jina lake kwenye daftari ya giza na kumwandika kwenye daftari la uzima, kasha akashikilia sana maamuzi hayo na kuyaishi? Nadhani hapa anatoa burudani tu hata kama atasema na zaidi. Tunaambiwa hatupati tuyatakayo kwa sababu hatuombi. Na kama tunaomba, ati tunaomba vibaya!!! Kwa kutata sifa na kwa ubaya ndani yetu na Mungu haruhusu hayo. I tell youoooooh!

Kuna watu ambao tunaumia kama mimi kukaa na neno nililomtendea mwenzangu na kuhisi moyo wangu kutokua na amani bila kulispeak out,najua mwenye uwezo wa kusamehe ni Mungu pekee but hata binadamu anapojua ulimkosea na ukakiri na kuomba msamaha maombi yako huwa na nguvu zaidi.
 
Una point ya Msingi sana Mkuu Lekanjobe Kubinika. Binafsi nilivyomsoma Tarime one nimefikiri yafuatayo:-

1. Kulileta hapa ni namna mojawapo ya kuweza kupumua yale ya moyoni yaliokua yanamtesa na kuendelea kumtesa.
2. Kupata muongozo wa namna moja au nyingine kutoka kwa wengi wenu/wetu.
3. Kuonesha haya mambo yapo na sio mazuri .. Ni wito kwa wale wengine iwe kwa makusudi/bahati mbaya/kwa kulazimishwa/kulazimisha/kushauri wamewahi kujihusisha na huu umwagaji damu waweze kujitafakari mara mbili.
4. Kupata ''relief'' na faraja inayoweza kumchochea kujikubali tena na kuona anastahili amani yake
5. Pia namna anavyoweza kuwasaidia baadhi ya wale alioshiriki nao tendo hilo... Maana damu za watu hao bado zinawalilia kutoka ardhini... na Kumbuka kimaandiko ARDHI ni shahili namba moja. Kumbuka Abel na Kaini. Baada ya Kaini kumuua ndugu yake... Mungu akamwambia Kaini ''Damu ya nduguyo inanililia kutoka ardhini''
6. Na mengine mengi.

NB: Wakati mwingine ushauri unaompa mtu mmoja unaweza kuwaponya mamia wengine bila wewe kujua.


Umempa mkate wenye nutrients muhimu sana. Lakin, hivi kwani alifanyia mambo yote hayo hapa jamvini? Kwa nini asitubu kwao aliowafanyia hayo? Au kama anaogopa kuwaona mmoja mmoja, kwa nini asishuke magotini akamwambia Mungu amfutie jina lake kwenye daftari ya giza na kumwandika kwenye daftari la uzima, kasha akashikilia sana maamuzi hayo na kuyaishi? Nadhani hapa anatoa burudani tu hata kama atasema na zaidi. Tunaambiwa hatupati tuyatakayo kwa sababu hatuombi. Na kama tunaomba, ati tunaomba vibaya!!! Kwa kutata sifa na kwa ubaya ndani yetu na Mungu haruhusu hayo. I tell youoooooh!
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu ambao tunaumia kama mimi kukaa na neno nililomtendea mwenzangu na kuhisi moyo wangu kutokua na amani bila kulispeak out,najua mwenye uwezo wa kusamehe ni Mungu pekee but hata binadamu anapojua ulimkosea na ukakiri na kuomba msamaha maombi yako huwa na nguvu zaidi.

Safi sana, now you are talking. "but hata binadamu anapojua ulimkosea na ukakiri na kuomba msamaha maombi yako huwa na nguvu zaidi" Swali ni je, amewaona hao aliowafanyia na kuwaangukia wamsamehe? Watajuaje kwamba amejitambua na sasa ni kiumbe kipya na sio kwamba anawakoga jamvini?
 
Hii laana itahamia kwa mabinti zako. Utatendewa kama ulivyowatenda mabinti wa wenzako na ufalme wa mbingu utafanya kuusikia tu. 1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."

Ni kweli usemayi apandacho mtu ndicho atakacho vuna, ila hajaomba msamaa yaonekana ametubu...na mtu hata utende dhambi gani msamaha upo mbele za MungU ila kwa habari ya uliyopanda ni lazima ulipe kama si wewe basi uzao wako...kumbuka Paulo wakaka anaitwa Sauli...

Pia kumbuka Mfalme Daudi na mke wa Uria...jifunze sana malipo yake kupitia familia yake wakina Tamari nk.
 
aiseee umetitiririka mpaka imekuwa tiririko!!!1


Ndugu yangu nikushauri kitu ni vyema utubie huo uovu kwani uliwanyima viumbe wengi kuwepo leo duniani kwa ukatiri wa kuviua vikiwa havijaumbwa vyema na Mungu huko kwenye mji wao tumboni, hivyo huna budi kuomba msamaha kwa Mungu kwani ni mwingi wa rehema atakusamehe na ikiwezekana tubu uovu na upokee uzima wa milele uwe kiumbe kipya
kwani yakale yamepita na sasa yamekuwa mapya okoka ndugu yangu
 
ID yako nimeipenda sana ayaani imeniacha hoi
nitafsirie kidogo mana yake nielewe mkuu
Safi sana, now you are talking. "but hata binadamu anapojua ulimkosea na ukakiri na kuomba msamaha maombi yako huwa na nguvu zaidi" Swali ni je, amewaona hao aliowafanyia na kuwaangukia wamsamehe? Watajuaje kwamba amejitambua na sasa ni kiumbe kipya na sio kwamba anawakoga jamvini?
 
Duuuuuh apo n damu ya YESU pekee ndo itakayo kusafisha na kufuta uo uuwaji wako na c vinginevyo.....
 
Una point ya Msingi sana Mkuu Lekanjobe Kubinika. Binafsi nilivyomsoma Tarime one nimefikiri yafuatayo:-

1. Kulileta hapa ni namna mojawapo ya kuweza kupumua yale ya moyoni yaliokua yanamtesa na kuendelea kumtesa.
2. Kupata muongozo wa namna moja au nyingine kutoka kwa wengi wenu/wetu.
3. Kuonesha haya mambo yapo na sio mazuri .. Ni wito kwa wale wengine iwe kwa makusudi/bahati mbaya/kwa kulazimishwa/kulazimisha/kushauri wamewahi kujihusisha na huu umwagaji damu waweze kujitafakari mara mbili.
4. Kupata ''relief'' na faraja inayoweza kumchochea kujikubali tena na kuona anastahili amani yake
5. Pia namna anavyoweza kuwasaidia baadhi ya wale alioshiriki nao tendo hilo... Maana damu za watu hao bado zinawalilia kutoka ardhini... na Kumbuka kimaandiko ARDHI ni shahili namba moja. Kumbuka Abel na Kaini. Baada ya Kaini kumuua ndugu yake... Mungu akamwambia Kaini ''Damu ya nduguyo inanililia kutoka ardhini''
6. Na mengine mengi.

NB: Wakati mwingine ushauri unaompa mtu mmoja unaweza kuwaponya mamia wengine bila wewe kujua.

Ahsante mkuu nimekusoma na kukuelewa deeply na nitayafanyia kazi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom