Najisikia kukiri hapa jamvini, naruhusiwa?

Najisikia kukiri hapa jamvini, naruhusiwa?

Tarime one

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
2,246
Reaction score
1,740
Kama nitaruhusiwa kufanya confession. Nitaruhusiwa seriously.
 
Hebu tema cheche......

Haya jamani,naamini kuna baadhi nitawakwaza humu but ndio khali halisi,mama yoyo najua uko humu am sorry kwanza,.
Nakumbuka baada ya kubarehe na kujua nini maana ya papuchi nilizitumia kweli ipasavyo,kutokana na uwezo wa kifedha aliokua nao mzee wangu niliwapanga wadada kwelikweli,tatizo kubwa linalonifanya najihisi vibaya najuta kufanya mauaji mengi sana ya viumbe wasio na hatia,bahati mbaya niliyokua nayo mpaka hivi karibuni nilivyoamua kuacha kila mdada ingawa si wote niliecheza nae bila kinga wengi waliishia kunasa mimba zangu na kwa vile senti zilikuwepo sikupenda kulea au kuwa na mtoto,najisikia vibaya niliwatoa mimba mabinti wengi tu ambao sikumbuki idadi yao,truly ingawa nilijiona kidume na sasa hivi nina familia yangu najihisi guilty kwa matendo yangu hayo,najua tuko wengi humu kinadada na wanaume tuliokwishafanya matukio kama haya najiuliza how do we feel now ukikumbuka hili jambo?me binafsi pamoja ilikua ni ujana najihisi hatia kubwa sana moyoni,kwa wale niliowafanyia kitendo hiki am very sorry,na pia naomba Mungu anisamehe kwa vitendo hivi vibaya.
 
Mkuu hili suala vidume wengi wamefanya...

Ila wengi hawajapata wasaa wa kutambua kuwa si jambo jema hata waombe msamaha kwa Maulana...
 
Haya jamani,naamini kuna baadhi nitawakwaza humu but ndio khali halisi,mama yoyo najua uko humu am sorry kwanza,.
Nakumbuka baada ya kubarehe na kujua nini maana ya papuchi nilizitumia kweli ipasavyo,kutokana na uwezo wa kifedha aliokua nao mzee wangu niliwapanga wadada kwelikweli,tatizo kubwa linalonifanya najihisi vibaya najuta kufanya mauaji mengi sana ya viumbe wasio na hatia,bahati mbaya niliyokua nayo mpaka hivi karibuni nilivyoamua kuacha kila mdada ingawa si wote niliecheza nae bila kinga wengi waliishia kunasa mimba zangu na kwa vile senti zilikuwepo sikupenda kulea au kuwa na mtoto,najisikia vibaya niliwatoa mimba mabinti wengi tu ambao sikumbuki idadi yao,truly ingawa nilijiona kidume na sasa hivi nina familia yangu najihisi guilty kwa matendo yangu hayo,najua tuko wengi humu kinadada na wanaume tuliokwishafanya matukio kama haya najiuliza how do we feel now ukikumbuka hili jambo?me binafsi pamoja ilikua ni ujana najihisi hatia kubwa sana moyoni,kwa wale niliowafanyia kitendo hiki am very sorry,na pia naomba Mungu anisamehe kwa vitendo hivi vibaya.



Hii laana itahamia kwa mabinti zako. Utatendewa kama ulivyowatenda mabinti wa wenzako na ufalme wa mbingu utafanya kuusikia tu. 1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."
 
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema.......... "Anaetaka kunifuata mimi na ajikane mwenyewe na kuubeba msamalaba wake"
 
Haya jamani,naamini kuna baadhi nitawakwaza humu but ndio khali halisi,mama yoyo najua uko humu am sorry kwanza,.
Nakumbuka baada ya kubarehe na kujua nini maana ya papuchi nilizitumia kweli ipasavyo,kutokana na uwezo wa kifedha aliokua nao mzee wangu niliwapanga wadada kwelikweli,tatizo kubwa linalonifanya najihisi vibaya najuta kufanya mauaji mengi sana ya viumbe wasio na hatia,bahati mbaya niliyokua nayo mpaka hivi karibuni nilivyoamua kuacha kila mdada ingawa si wote niliecheza nae bila kinga wengi waliishia kunasa mimba zangu na kwa vile senti zilikuwepo sikupenda kulea au kuwa na mtoto,najisikia vibaya niliwatoa mimba mabinti wengi tu ambao sikumbuki idadi yao,truly ingawa nilijiona kidume na sasa hivi nina familia yangu najihisi guilty kwa matendo yangu hayo,najua tuko wengi humu kinadada na wanaume tuliokwishafanya matukio kama haya najiuliza how do we feel now ukikumbuka hili jambo?me binafsi pamoja ilikua ni ujana najihisi hatia kubwa sana moyoni,kwa wale niliowafanyia kitendo hiki am very sorry,na pia naomba Mungu anisamehe kwa vitendo hivi vibaya.

Kutoa mimba au kushiriki kutoa mimba sio kuua.. Hiyo ni falacy
 
Mkuu hili suala vidume wengi wamefanya...

Ila wengi hawajapata wasaa wa kutambua kuwa si jambo jema hata waombe msamaha kwa Maulana...

Kutoa mimba sio kosa jamani , hembu tutumie akili kdgo na kufikiri.
 
Kutoa mimba sio kwamba ulikwepa jukumu la kuitwa baba siku ya kiama utaitwa baba wa viumbe wafu na watafufuliwa ujibu kesi ya kuwanyima haki ya kuishi
 
Back
Top Bottom