CRISTA
Member
- Aug 5, 2012
- 82
- 36
Wakuu, sometimes nahisi najikosea
Haiwezekani kipindi sina pesa nawaza Mambo ya kuanzisha miradi mbalimbali na kujiwekea mikakati ya kutosha.
Sasa kizungumkuti nizipate napeleka chap kumalizia Nyumba yangu,mfano juzi kati nilibamba mil 3.5 ,chap nikaweka tiles kwenye Nyumba yangu,wakati nilipanga Toka siku nyingi nianzishe mradi wa kuku.
Sasa hivi nimechacha haswaa naanza kufikiria kufikiria kama ningekuwa na miradi nisigechaha namna hii.
Dah,
Haiwezekani kipindi sina pesa nawaza Mambo ya kuanzisha miradi mbalimbali na kujiwekea mikakati ya kutosha.
Sasa kizungumkuti nizipate napeleka chap kumalizia Nyumba yangu,mfano juzi kati nilibamba mil 3.5 ,chap nikaweka tiles kwenye Nyumba yangu,wakati nilipanga Toka siku nyingi nianzishe mradi wa kuku.
Sasa hivi nimechacha haswaa naanza kufikiria kufikiria kama ningekuwa na miradi nisigechaha namna hii.
Dah,