Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Si bora mlenda iko na vumbi na buibui....Eeh kitu itakua iko ka mlenda, atabandua vipi unafikiriš¤£
Si bora mlenda iko na vumbi na buibui....Eeh kitu itakua iko ka mlenda, atabandua vipi unafikiriš¤£
We dada sahau mbinguSi bora mlenda iko na vumbi na buibui....
Umeanza kujiquote utajivua mask kijana š¹š¹š¹Hata huyo unaesema ni dem wako ni uongo
Kivipi tena? Upo sawa kweli?Umeanza kujiquote utajivua mask kijana š¹š¹š¹
kalale tu mkuuKivipi tena? Upo sawa kweli?
Job true truekalale tu mkuu
Yaani, huwezi?Natamani niachane na kumfikira ila sasa siwez
Mpe ukweli. Nyege zinatawala kichwa chakeNakusihi ingatia huu ushauri nduguyangu.
Huyo binti hakupendi sema ww unaendeshwa na hisia zako hapa naona hata ushauri huwezi kuuelewa.
šššAtuambie ye na huyo kibopa wake wako wapi....š¹
Nakusalimia pia twinnie...mdada mpole kuliko wote JF šHahahaaa. Lol.
Pacha mi nakusalimia. šš
š¤£š¤£š¤£dah una maneno ya vitisho sana weweSasa bora achanganye madesa
Asije akajichanganya yeye š
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£dah una maneno ya vitisho sana wewe
Ndo maana una kuwa unajipendekeza ila unge mbandua wala usingejipendekeza kwake,ushauri wangu mbandue kwanza halafu ndo uangalie unaendelea nae au unaachana nae.Mbaya zaidi sijawahi kumbandua š®āšØ