cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,586
- 8,386
Siku za hivi karibuni najiona ovyo, sina amani ndani ya moyo, muda mwingine najiuliza kwanini nilizaliwa hapa duniani.
Kuna muda machozi yananitoka ndo najihisi angalau mtu.
Nimekuwa mnyonge, hata kazini huwa akili yangu haipo serious, muda mwingine najihisi kuondoa uhai wangu.
Nimekuwa na hasira, muda mwingine huwa natumia lugha mbaya kwa wanaume wanao ni-aproach.
Naombeni ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
TAFADHALI cutelove SOMA HAPA
Sonona (Depression): Jinsi ya kupambana nayo na kumsaidia mwathirika
Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako
Kuna muda machozi yananitoka ndo najihisi angalau mtu.
Nimekuwa mnyonge, hata kazini huwa akili yangu haipo serious, muda mwingine najihisi kuondoa uhai wangu.
Nimekuwa na hasira, muda mwingine huwa natumia lugha mbaya kwa wanaume wanao ni-aproach.
Naombeni ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
TAFADHALI cutelove SOMA HAPA
Sonona (Depression): Jinsi ya kupambana nayo na kumsaidia mwathirika
Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako