Najihisi mjinga kukosa chuo

Najihisi mjinga kukosa chuo

SUA ili chelewa kutoa majina ya round ya pili nikijua nta pata apo.Majina kutoka sipo afu huku tayari washa funga udahili kwa round ya tatu
oosh! nkama mkeka umechanika ko inabid uwe mjanja ukisema huamin chuo saiz utaumia
 
maisha ndivo yalivo hayawez kua unavotaka ww kwa100% ila ni kwa anavotaka
 
Usikate tamaa bado kuna nafasi mbele ya safari. Anza na stashada (diploma) ukimaliza hiyo kwa ufaulu mzuri utasoma shahada. Pole sana na songa mbele badala ya kujilaumu

kuanza na diploma mkuu ina katisha tamaa sana hizo D mbili za chemstry na biology hujui nilivyo zipata kwa shida na sio kila mtu anae faulu kidogo ali tegemea kuperform ivyo.Asante kwa wazo lako lakini
 
Hivi hii inakuwaje?
Wakati kuna HGL, HKL wana DDE na wamepata vyuo?

Wana kwambia cozi za sayansi vyuoni ni chache na zina ushindani sana.Mi kitu kinacho ni shangaza hizo kozi za arts ni nyingi sana na capacity yake ni kubwa sana lakini sayansi wana tubania
 
The sweetest girl!
Hakika! Asijilaum hata kidogo!
Usikate tamaa bado kuna nafasi mbele ya safari. Anza na stashada (diploma) ukimaliza hiyo kwa ufaulu mzuri utasoma shahada. Pole sana na songa mbele badala ya kujilaumu
 
LABDA UCHANGUZI WA KOZI ULIKUA MBAYA HUKUANGALIA MINIMUM QUALIFICATIONS ZA KOZI ULIZOOMBA.
 
Usikate tamaa bado kuna nafasi mbele ya safari. Anza na stashada (diploma) ukimaliza hiyo kwa ufaulu mzuri utasoma shahada. Pole sana na songa mbele badala ya kujilaumu
Kama na ufaulu wake wa o-level ulikuwa wa kawaida, kote ni shida kwakweli. lakini itategemeana na focus zake, kama ni afya ushindani uko juu sana hata diploma, vijana wengi wamekosa
 
Back
Top Bottom