Najihisi mjinga kukosa chuo

Najihisi mjinga kukosa chuo

Wana kwambia cozi za sayansi vyuoni ni chache na zina ushindani sana.Mi kitu kinacho ni shangaza hizo kozi za arts ni nyingi sana na capacity yake ni kubwa sana lakini sayansi wana tubania
Ni kweli sayansi kuna ushindani boss pia mwaka huu vijana wa pcb wamepasua sana hii inakua shida kwa hawa vijana wa cbg kupata kozi maana kila kozi ya cbg pcb anaingia.... Mpaka baadhi ya kozi za eng wanapiga afu kwa upande wa syansi pcb ni wengi zaidi
 
Mzumbe Mbeya campus ina uhitaji wa wanafunzi, ukienda kuomba chuoni kuonana na admins wanakuregister, rucu iringa pia, saut songea pia, stella Marris huko kusini hivo hivo, nenda chuoni pale watakupa nafasi labda useme hela hakuna tukuchangie vyuo vipo aisee

Nime kuelewa mkuu,hela sio wajibu wako chief
 
Braza tatizo mwaka huu pcb wamefaulu sana ... Na kwa huu utaratibu wao wa kuapply imeleta competition kubwa sana kwa hawa vijana wetu wa cbg maana watu wameachwa mpaka kwenye zile kozi za kawaida kabisa kama education....

Kweli mkuu
 
Ni kweli sayansi kuna ushindani boss pia mwaka huu vijana wa pcb wamepasua sana hii inakua shida kwa hawa vijana wa cbg kupata kozi maana kila kozi ya cbg pcb anaingia.... Mpaka baadhi ya kozi za eng wanapiga afu kwa upande wa syansi pcb ni wengi zaidi

Exactly chief
 
Tatizo mnapumbazwa kutaka vyuo vikubwa kozi zengine zinabeba watu wachache mnataka kuforce kuweni makini awamu ya 4 imeshafunguliwa.
 
Mkuu fatilia uzi mmoja hivi unasema *mwongozo wa kuchagua kozi 2018/19* katika round hii ya nne kukosa itakuwa ngumu kama ukifnya maamuzi sahihi na chaguo sahihi
 
Usjali mkuu, hii awamu ya nne ya kuapply ww apply chuo chochote na koz yoyote then ukishapata uombe transfer kwa ajili yako unayoipenda na kwa vile vyuo vyene nafasi
 
Back
Top Bottom