- Thread starter
- #41
Kama na ufaulu wake wa o-level ulikuwa wa kawaida, kote ni shida kwakweli. lakini itategemeana na focus zake, kama ni afya ushindani uko juu sana hata diploma, vijana wengi wamekosa
Kweli kabsa jamaa zangu piah wame kosa dp za afya
♀️

we ndo una elewa uchungu wahiki mkuu