binti wa kikwere
Member
- Sep 5, 2014
- 67
- 34
asante ng'ombe wa maskini hazai miaka yote kazini sikupata ruhusa ya kusoma mwaka huu nimepata ndo hivyo kimefungiwaAsante poleee pia chief
asante ng'ombe wa maskini hazai miaka yote kazini sikupata ruhusa ya kusoma mwaka huu nimepata ndo hivyo kimefungiwaAsante poleee pia chief
sure i tell you mkuu. now kwenye CBG, PCB, CBA, ECA wanaangalia sana BAM aseeeeeeeee kama student akiivurunda huko ndo haya sasa.Ata mi na ona mkuu
sure i tell you mkuu. now kwenye CBG, PCB, CBA, ECA wanaangalia sana BAM aseeeeeeeee kama student akiivurunda huko ndo haya sasa.
asante ng'ombe wa maskini hazai miaka yote kazini sikupata ruhusa ya kusoma mwaka huu nimepata ndo hivyo kimefungiwa
Mimi nimeapply UCC mpaka now jina lipo Nacte for Verification
chaliifrancisco
Usikate tamaa,tupo wengi tumekosa
Pole.
Cbg wengi hii miaka miwili..na waliopata wamepata vitu tofauti kabisa na matarajio yao. Usife moyo mwakani utapata
. Usijione mjinga dogo watu wengi Sana wamekosa tangu ianze hii system ya kuapply direct chuoni
Pole sana,Jaribu Mwaka ujao,ukienda diploma utakuwa una bangaiza Sana.
We ni Raia halali wa Tanzania kweli? Yani upate kiswahili C wakati kiingereza una B?Mathematcs-C kiswahili-C English-B
Huu mfano wa chuo si umefungiwa kudahili?Duhh. Hata Teku?
Mkuu ungeandika kwa herufi ndogo mbona ungeeleweka pia!LABDA UCHANGUZI WA KOZI ULIKUA MBAYA HUKUANGALIA MINIMUM QUALIFICATIONS ZA KOZI ULIZOOMBA.
TEKUUpo teku?

