Najihisi kuchanganyikiwa....

Kwa hii thread naona unazidi kujirahisisha tu na kama kweli huyo mwanaume ana akili nzuri atajua kwa namna gani ambavyo humfai...
Kitu kidogo tu kama hicho tayari unakuja kukitangaza hapa jamvini...ni hivi bi mkubwa elewa jinsi mchezo wa mapenzi ulivyo...hapo hutakiwi tena...
Sio mara zote neno HAPANA huja kama lilivyo!!!
 
sawa watu8,nimekusikia...Kufunguka kuhusiana na kitu kunasaidia kupunguza msongamano wa mawazo na nilihitaji kusikia fikra za watu wengine na kusema kweli sijamtangazia chochote kwasababu hakuna any personal details here...This could happen to anybody and anywhere...
 
watu wenye vichwa vya panzi kama nyie ndo dawa yenu hiyo!na ilitakiwa akugonge kwanza ndo apotee,afadhali changu anatoa penzi kwa mtu ambaye anamuona wewe unajirahisisha kwa mtu ambaye hata sura huijui wewe ni zaid ya kahaba na huna akili.
Ahsante!
 
Kufunguka kuhusiana na kitu kunasaidia kupunguza msongamano wa mawazo na nilihitaji kusikia fikra za watu wengine

Wewe endelea na maisha yako, achana na habari za msongo wa mawazo....
Huwezi kumpenda tu mtu kiasi hicho kwa kusikia sauti yake, kuona texts zake au kuona taswira yake...
La hasha hiyo ni some sort of obsession, kitu ambacho si kizuri kwa afya ya ubongo...

na kusema kweli sijamtangazia chochote kwasababu hakuna any personal details here...This could happen to anybody and anywhere...

Nami natambua kwamba hujaweka bayana habari zake...
Lakini najaribu kukumegea tu namna ambavyo sisi wanaume wengi tulivyo, huwa hatupendi habari zetu kutamkwa hovyo hadharani hata kama hukumtaja muhusika...
Kwa kitendo tu cha kuja hapa jamvini na kulalama kama mtete anayenyakuliwa kifaranga na mwewe, binafsi ninaweza kugundua u mwanamke wa namna gani...
Kumpenda mtu sio dhambi lakini namna ya reaction ulioyoionesha afterwards ndiyo yanitatiza mimi watu8...

..Mwanzoni kila kitu kilikuwa shwari maongezi saa zote..tukaplan mpaka kuonana..kusema kweli nilikuwa na matumaini sana na furaha nimeshapata mwenza...


Kwa maelezo hayo ambayo nimeyanukuu kama ulivyoyaandika, ni dhahiri hukuwahi kuonana na mtu huyo.
Mahusiano yenu yalichagizwa zaidi na njia ya mawasiliano as you mentioned ilikuwa ni text messaging na voice...

Sasa bi mkubwa kama mawasiliano tu mlikuwa mwafanya pasipo kuonana, usishangae sana namna ya kibuti ambacho mwanaume huyo kaamua kukupiga...
 
Maybe I fell hard for him and fast..but thats a lesson to be learned..What is done is done I cant do anything about it right now,It obvious he doesn´t want me I get that!
I do not regret about starting this thread because I would rather open up than staying miserable and depressed!
He was a good friend who was there when I needed someone to talk to,and thats how it developed feelings between us..To avoid getting personal with anybody this was the best way out!
 
Lol its called Physical appearance!nenda kajifunze kuandika kwanza!
teh teh teh kbongobongo kizaz cha sasa(langa,witness,shaa)KISWANGLISH ndo mpango,so mambo ya semantic,morphology na pronounciation nayapata poa na kuna makosa ya makusud ktk uandish(droping some letters deliberately*in poem n poetic license na kmtaa kiswanglish.upo
 
We utakuwa ni mmbaya kwa sura kuliko alivyotegemea.... Maana kuna wengine mna visauti ka Wema Sepetu, lakini mna sura za yule demu wa Dudu Baya, kwenye hivyo hivyo nakupenda tuuu....
 
We utakuwa ni mmbaya kwa sura kuliko alivyotegemea.... Maana kuna wengine mna visauti ka Wema Sepetu, lakini mna sura za yule demu wa Dudu Baya, kwenye hivyo hivyo nakupenda tuuu....

ha ha ha watu wengine wanachekeshaje!At least u made me laugh...
 
Dada yetu labda kwa sababu ulimzungusha kidogo mwishowe ulipokuja kumkubalia mwingine fastafasta alikuwatayari ameshachukua nafasi, naye akashindwa kukwambia waziwazi. Lakini kwa matendo yake nafikiri utakuwa umekwishaelewa nini kinaendelea. Pole sana.
 
Maybe I fell hard for him and fast..but thats a lesson to be learned..
Ooh yeah that's my guess too...you were too fast and he became furious!!!

What is done is done I cant do anything about it right now,It obvious he doesn´t want me I get that!
Of course huna cha kujutia rafiki...sio kila mara huwa tunavipata vile tuvitakavyo...vingine vipo juu sana na huwa tunavipata pindi vinapodondoka tu!!!

He was a good friend who was there when I needed someone to talk to,and thats how it developed feelings between us..
Hii huwakuta wadada wengi nawe sio wa kwanza...
Kuna wanaume wameumbwa na hulka ya kujali sana na mwanamke usipokuwa makini unaweza ukadhani umependwa kumbe si kweli...
Sasa pengine huyo kaka mkubwa aliona kuna mipaka inayovukwa na ndio maana akajiweka pembeni ili walau uelewe ni aiana gani ya mahusiano anayoyataka baina yenu.
 
Ahsante na nashukuru kwa ushauri wako although haikuwa exactly kama ilivyo kwenye fikra zako....
 

ha ha ha watu wengine wanachekeshaje!At least u made me laugh...
[/SIZE][/SIZE]
Noooo sisteri cheriefrance........ sichekeshi, ila nakupa makavu live ujiangalie.... AU PENGINE UMEKUWA NA AMEKUONA MAHARAGWE YA MBEYA....

Wanaume tupo hivi......
1. Ukinizungusha saaanaaaa... jua unanijengea matarajio makubwa sana kwamba, shingo ya upanga, mguu wa kilimanjaro mwanamke nyonga, kipua mchongoko, vidodo vya kushikwa kwa uzuri, mahips ya kuniinua dirishani, kiuno dondola, ....... SASA NIKIJA KUKUONA NIKAONA UPO TOFAUTI NA IMANI ULIYONIJENGEA... lazima nile kona....

2. Ukinikubali ghafra bin vuuu... yaani hata sijamaliza mistari, we ushakubali... NITAONA HAPANA.... huyu atakuwa anao anataka kunipaka nao.... na hapo kwenye kuniapaka nao, jua si ukimwi tu, bali gono, pangusa, malengelenge, kisonono, kaswende etc etc... Kwa hiyo jiangalie na spidi zako hizo za kukubali haraka haraka....



 

Hapo kwenye bold, I SALUTE YOU watu8
 
Una ushauri mzuri sana watu8! Take that as a compliment! Kuhusu hilo suala la kupenda alitamka kuwa ananipenda labda kama hakumaanisha aliyoyasema mimi siwezi kujua!But i was honest and sincere about my feelings towards him...And he assured me so much he was different...
 
Ahsante na nashukuru kwa ushauri wako although haikuwa exactly kama ilivyo kwenye fikra zako....
Usife moyo dada yangu kipenzi, kwakuwa huyo ulimpata hapa hapa nina imani yupo mwingine aliyebora kuliko huyo atakuja siku si nyingi na utanmsahau wa kwanza.

Binadamu tusingeumbwa kusahau dunia isingekalika.
 
Haipo kama unavyofikiria wewe sasa....
 
Usife moyo dada yangu kipenzi, kwakuwa huyo ulimpata hapa hapa nina imani yupo mwingine aliyebora kuliko huyo atakuja siku si nyingi na utanmsahau wa kwanza.

Binadamu tusingeumbwa kusahau dunia isingekalika.
Weeee mbona nimekoma nimpate mwengine hapa thubutu yako...
 

CF, hapa unapata uzoefu mwingine kwa aina ya majibu na mawazo unayopewa. Usiogope wala kukata tamaa bali pata shule muhimu kuhusu wanadamu.

Kumbuka; a man is a man, a man is amazing creature, mwanadamu anaweza kuwa na tabia bilioni moja kwa hiyo usishangae, usishituke, usikate tamaa, wala usiogope maana hata Yesu alisalitiwa na mtu aliyemwamini sana.

Kila jambo litupatalo maishani; la kuumiza au la kufarahisha lichukulie kama somo la kukusaidia baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…