Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,856
- 2,955
Licha ya umbali wa nilipojiandikishia kupiga kura na sheria za NEC kumtaka kila mtu kupigia kura pale alipojiandikishia tu.
Basi mimi Gluk nimeshaandaa safari ya kwenda kupiga kula umbali wa KM 200
Maana naamini kura yangu moja inaweza kuwaondoa watanzania katika hiki kifungo cha zaidi ya miaka 60 chini ya utawala huu usiojari utu, haki na uhuru.
Hii ni mara yangu ya pili kupiga kura, ila naimani kuwa kura yangu ya mwaka huu ni kura muhimu zaidi ya kura yangu ya miaka 5 iliyopita.
Mimi, uko wangu mzima, marafiki zangu 5271 ambao tunaunda Group la Telegram
Wote kwa umoja wetu wote tumekubaliana kuwa 28 kura zetu zote ni kwa ndugu yetu, kipenzi chetu na mbeba maono. Ndugu Tundu Antipas Lissu
Freedom is coming.
Basi mimi Gluk nimeshaandaa safari ya kwenda kupiga kula umbali wa KM 200
Maana naamini kura yangu moja inaweza kuwaondoa watanzania katika hiki kifungo cha zaidi ya miaka 60 chini ya utawala huu usiojari utu, haki na uhuru.
Hii ni mara yangu ya pili kupiga kura, ila naimani kuwa kura yangu ya mwaka huu ni kura muhimu zaidi ya kura yangu ya miaka 5 iliyopita.
Mimi, uko wangu mzima, marafiki zangu 5271 ambao tunaunda Group la Telegram
Wote kwa umoja wetu wote tumekubaliana kuwa 28 kura zetu zote ni kwa ndugu yetu, kipenzi chetu na mbeba maono. Ndugu Tundu Antipas Lissu
Freedom is coming.