Najaribu kuseti mtambo lakini umebuma

Najaribu kuseti mtambo lakini umebuma

Madam zero

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
221
Reaction score
18
Ni mm au na wenzangu???nimeapply kazi ya records management ngazi ya diploma katika mitandaowanayotangaza kazi zaidi ya mara 20 lakini siitwi hata kwenyeinterview moja ,,najiuliza sina vigezo au ni nini haswa mana ninatuma kazi nikiwa na vielelezo vyote vyakua na sifa ya kuipata lakini sipati mweeee
 
Labda kwa sababu ya jina lako
Ni mm au na wenzangu???nimeapply kazi ya records management ngazi ya diploma katika mitandaowanayotangaza kazi zaidi ya mara 20 lakini siitwi hata kwenyeinterview moja ,,najiuliza sina vigezo au ni nini haswa mana ninatuma kazi nikiwa na vielelezo vyote vyakua na sifa ya kuipata lakini sipati mweeee
 
utapata tu...huu mwaka auishi...na usikubali kutoa kikojoleo chako ili upate kazi...
 
Hhhaha inshallah ntapata,,,kikojleo hakitoki kabsaaa
 
We si ------ kazi ya nini si ukae nyumbani?

Ni hiyo avatari yako inaonesha umeacha kunyonya muda si mrefu hayo mapengo duuhhh, sasa akikaa nyumbani atamnyonyesha nani na wewe umeachishwa ziwa la mama?
 
Ni mm au na wenzangu???nimeapply kazi ya records management ngazi ya diploma katika mitandaowanayotangaza kazi zaidi ya mara 20 lakini siitwi hata kwenyeinterview moja ,,najiuliza sina vigezo au ni nini haswa mana ninatuma kazi nikiwa na vielelezo vyote vyakua na sifa ya kuipata lakini sipati mweeee

Vuta subira, na mwombe sana Mungu, hizi kazi zenu zina competition sana kwa maana number ya wahitimu wengi wanaofeli sekondar na wasiofeli husoma hivi vikozi mnakwepa heasabu sasa changamoto yake huwa ndio hiyo mnarundikana sehemu moja. someni fani zingine za science
 
Ni hiyo avatari yako inaonesha umeacha kunyonya muda si mrefu hayo mapengo duuhhh, sasa akikaa nyumbani atamnyonyesha nani na wewe umeachishwa ziwa la mama?

Lakini ndiyo President of united states of America
 
euwiii mbavu zang mie
shauri yako, we cheka tu....mwenzio aliombwa uroda na Human Resource Manager wakati anatafuta kazi, si akakimbiliaa
kulalamika kwa Generala Manager.. alichojibiwa..."How manya times have you offered sex for pleasure, leo unataka kazi hutaki kutoa?"...kalaghabaho, koma Mwanangu kazi zipo tu, Mungu mkubwa
 
ila wapo walikubali kusex na maboss na kaz wakakosa usikubali mwaya,just kp on pryng Mungu ni mwema atakujibu tu
 
Peleka physically usiapply online, na mimi nilikuwa na tatizo kama lako lakini nilivyoanza kupeleka physically nikaanza kuitwa
 
Back
Top Bottom