Naiweka wapi sura yangu?

Naiweka wapi sura yangu?

67cf83385e7767efa6eb79ccfd6147f7.jpg
77de7ca3e82c0eb515352fa6d740d8ee.jpg
Sawa dogo punguza papara utaparamiwa
Mama yako anapaswa ajivuniye kuwa
Na mtoto wa kiume kaa mbali na mitandao ya kijamii
 
Acha kwenda kwenye kila tamasha la Taarab
 
ikikuuma itakuwa kweli kitu ambacho sio cha kweli hakiumagi

achana nao fanya mishe zako wanadamu ndivyo tulivyo chanyiongeza tafuta demu mkali pita nae maeneo yote wanaokuita shoga ikibidi piga mimba
Weee kitu ambacho siyo cha kweli hakiumi?

Tafuta uzi humu uone, jamaa anavyoumia mkewe kamsingizia katembea na shemejie nawakati si kweli na mke analeta vituko huyooo kaota mapembe!

Inauma mno mtu kukusingizia ama kukusakizia jambo la uongo
 
FAFANUA VIZURI....HIVIHIVI TU UITWE SHOGA KOTE HUKO YANI MTAANI NA KAZINI...KUNA KITU
 
Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.

Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.

Ushauri nifanyeje
Kwani wenye pesa wote wa umri wako huitwa mashoga?
 
Najua wanawake ndio wanaoongea sana, Sasa ww mpitie mmoja baada ya mwingine, wahataongea tena! Ila ukiwaacha hivhiv wataendelea kuongea kuwa ww ni shoga! Take action!
 
Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.

Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.

Ushauri nifanyeje
Kwa huu uandishi wako, nawaachia wachangiaji waseme! RIP Kaoge.
 
Wewe nawe siyo mzima. Ungekuwa mzima usingeleta huo ujinga hapa. Wanaume tunaongea kwa vitendo hofu ya nini?.
Wavimbishe matumbo mabinti mtaani hapo kimya.
Kwanza wewe ni mtoto miaka 18.
 
Back
Top Bottom