Aiseee mods wafanye hivi kwakweli daah,.Duh hebu mods muweke majukwaa kutokana na umri
Sawa dogo punguza papara utaparamiwa
namshauri tu kaka ushauri nasaha😉unataka kumfanyaje mtoto wa watu we baradhuli
unaamini hiyo ni picha yake kweli!?Yan huyu dogo kaweka picha yake kweli.
Aisee
Jitahidi kukaza sauti basi mkuu mbona unalegea hivyo...!?hapana jamani mboni tena vya dhalau
[emoji38][emoji38][emoji38]HEBU WEKA PICHA YAKO TUKUONE, WENGINE TUNAWAJUA HATA KWA SURA.
Weee kitu ambacho siyo cha kweli hakiumi?ikikuuma itakuwa kweli kitu ambacho sio cha kweli hakiumagi
achana nao fanya mishe zako wanadamu ndivyo tulivyo chanyiongeza tafuta demu mkali pita nae maeneo yote wanaokuita shoga ikibidi piga mimba
yaani hasa kipindi hiki na mwezi wa sita kuna kuwa kero sana humuAiseee mods wafanye hivi kwakweli daah,.
Kwani wenye pesa wote wa umri wako huitwa mashoga?Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.
Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.
Ushauri nifanyeje
Kwa huu uandishi wako, nawaachia wachangiaji waseme! RIP Kaoge.Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.
Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.
Ushauri nifanyeje