Naiweka wapi sura yangu?

Naiweka wapi sura yangu?

tzmuya

Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
86
Reaction score
26
Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.

Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.

Ushauri nifanyeje
 
ikikuuma itakuwa kweli kitu ambacho sio cha kweli hakiumagi

achana nao fanya mishe zako wanadamu ndivyo tulivyo chanyiongeza tafuta demu mkali pita nae maeneo yote wanaokuita shoga ikibidi piga mimba
 
Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.

Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.

Ushauri nifanyeje
Lisemwalo................. Jitafakari kwa nn wanakusingizia.
 
jitaathmini vzr pengine una mambo ya kike... mwonekano, unavyoongea, kampani zako pengine miondoko... be gentlemen, lisemwalooooo....kuna kitu unaficha hapa ama unataka promo ? hawawezi ibuka watu from no where waseme wewe ni shoga
 
Tukisema wanaume wa dar akili zenu haziwatosh mnatutolea mapovu

Oky wanasemaga biashara ni matangazo
 
Mtoa mada nina wasi wasi na wewe, unaweza kuwa mtoto sio riziki.
 
Kama haina ukweli sidhani kama itakufanya uumie roho
 
Huwezi kuitwa Shoga kama huna muonekano wa Kishoga..,
 
Back
Top Bottom