Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.
Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.
Ushauri nifanyeje
safiikikuuma itakuwa kweli kitu ambacho sio cha kweli hakiumagi
achana nao fanya mishe zako wanadamu ndivyo tulivyo chanyiongeza tafuta demu mkali pita nae maeneo yote wanaokuita shoga ikibidi piga mimba
Kama haina ukweli sidhani kama itakufanya uumie roho
ndio mahana nasema kuwa Kwa sababu ya fashion zako nazo vaa kila sikuPesa sio kigezo cha kukuita shoga kuna vitu vingine hebu viseme navyo
hapana jamani mboni tena vya dhalauUnajipigia promo
HEBU WEKA PICHA YAKO TUKUONE, WENGINE TUNAWAJUA HATA KWA SURA.[/QUOTE
Mkuu kiswahili gani hiki?hapana jamani mboni tena vya dhalau
Hapa kuna lililofichika zaidi ya hayo maelezo. Sijawahi sikia mtu akipata mafanikio ktk umri mdogo aitwe shoga.Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.
Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.
Ushauri nifanyeje
Una mwonekano wa kimchelemchele cheki hilo form 6 uliyovaa na huo mkono ulivyo nyororo na mdogo ka wa demu
unataka kumfanyaje mtoto wa watu we baradhuliNaomba uni PM kama hutojali