Kama ni chawa tokaaaaaaa, kama sivyo karibuMi wamda mrefu umu ila nilikuwaga nasoma sasa nimeamua kujiunga mana kuna mada zinanivutiaga nashindwaga kuchangia asa ndo nimejiunga ivyo
Ulikuwa unasoma?Mi wamda mrefu umu ila nilikuwaga nasoma sasa nimeamua kujiunga mana kuna mada zinanivutiaga nashindwaga kuchangia asa ndo nimejiunga ivyo
Muongezee na hizi,Asa❌
Sasa✅
Umu❌
Humu✅
Mana❌
Maana✅
Ndo❌
Ndio✅
Ivyo❌
Hivyo✅
Zinavutiaga❌
Zinavutia✅
Nashindwaga❌
Nashindwa✅
Huyu arudi tu, akajipange upya bwashee .Muongezee na hizi,
Mi
Mimi
Mana
Maana.
Mzee kifimbo ange mpiga bakoraaaaAsa❌
Sasa✅
Umu❌
Humu✅
Mana❌
Maana✅
Ndo❌
Ndio✅
Ivyo❌
Hivyo✅
Zinavutiaga❌
Zinavutia✅
Nashindwaga❌
Nashindwa✅
Hua najiuliza,Huyu arudi tu, akajipange upya bwashee .
Wana andika vizuri tu ili wapate amala ya vyema ✅tu bwashee.Hua najiuliza,
Hivi na huko Shule hua wana andika hivi hivi?
Ili iweje? Mkatae shetani!We ni ke au me
Bwashee huyu ndio ameshajipanga hivyo,ndio maana kaingia humu,Huyu arudi tu, akajipange upya bwashee .
Huyu angemtupia bomu kabisa!!Mzee kifimbo ange mpiga bakoraaaa
Karibu sana JFMi wamda mrefu umu ila nilikuwaga nasoma sasa nimeamua kujiunga mana kuna mada zinanivutiaga nashindwaga kuchangia asa ndo nimejiunga ivyo
Makosa huwa yapo bwashee , ila haya ya kwake kwa jinsi yalivyo mengi itashangaza sana kama atakuwa mtanzania🤔Bwashee huyu ndio ameshajipanga hivyo,ndio maana kaingia humu,
si amesema kua yeye ni wa muda mrefu,
Yani hapo yupo full package ndio maana akaingia humu,
Unapomsahihisha anaweza tu kukushangaa na kuona kua wewe ndio unakosea uandishi.