Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Amani iwe juu yenu.
Nimepokea simu kutoka kwa aliyekuwa member wa barza hii Bw Hossam Mohammed Hafif Al Miskry ( HM Hafif) ambaye kitaaluma ni Civil Engineer wa Kalafiy Construction ya Saud Arabia kuwa panapo majaaliwa taarih 8 July 2011 ataozesha mtoto wake Hajjat Dr Rufeeda Hossam Mohd Al Maskry kwa Engineer Fareed Fahad Abdullah Al Walad .
Harusi hiyo itafungwa Huko Zanzibar katika msikiti mkuu wa Malindi baada ya Swalat al Jumaa na baadae Chakula cha mchana Serena Hotel Zanzibar.
Bwana na Bibi harusi wote wanaishi na kufanya kazi Muscat Oman. Mama Daktari hospitali kuu ya Jeshi Oman na baba ni Mhandisi wa kampuni ya mafuta Oman (PDO)
Amewaomba woooote nduge zake muhudhurie bila kukosa. Hata mimi InshAllah nitakuja na mke wangu.
Shime alaykum, karibuni kwani sherehe ni watu na watu ndio nyie.
Nitatoa ufafanuzi zaidi mara atakapo nijulisha.
Nimepokea simu kutoka kwa aliyekuwa member wa barza hii Bw Hossam Mohammed Hafif Al Miskry ( HM Hafif) ambaye kitaaluma ni Civil Engineer wa Kalafiy Construction ya Saud Arabia kuwa panapo majaaliwa taarih 8 July 2011 ataozesha mtoto wake Hajjat Dr Rufeeda Hossam Mohd Al Maskry kwa Engineer Fareed Fahad Abdullah Al Walad .
Harusi hiyo itafungwa Huko Zanzibar katika msikiti mkuu wa Malindi baada ya Swalat al Jumaa na baadae Chakula cha mchana Serena Hotel Zanzibar.
Bwana na Bibi harusi wote wanaishi na kufanya kazi Muscat Oman. Mama Daktari hospitali kuu ya Jeshi Oman na baba ni Mhandisi wa kampuni ya mafuta Oman (PDO)
Amewaomba woooote nduge zake muhudhurie bila kukosa. Hata mimi InshAllah nitakuja na mke wangu.
Shime alaykum, karibuni kwani sherehe ni watu na watu ndio nyie.
Nitatoa ufafanuzi zaidi mara atakapo nijulisha.