Naitaji msaada/wazo tafadhali

Naitaji msaada/wazo tafadhali

baraka clemence

Senior Member
Joined
Sep 18, 2016
Posts
137
Reaction score
67
Jina langu naitwa Baraka clemence kwa sasa Niko mpanda nilikuwa naomba msaada hata wa mawazo kifupi mwaka 2014 nilimaliza form six nikajiunga na chuo kikuu udsm Bsc.in mechanical engineering mwaka 2015 akati Niko mwaka wa pili nilishindwa kuendelea na chuo/discontinued hii nikutokana na mda mwingi skuhudhuria vipnd mlezi alokuwa akinisomesha alikuwa anaumwa ko mda mwingi nilikuwa nikimuuguza nkashindwa kuhudhuria mwisho wa siku nikapata 1.7gpa skuweza kuendelea na tatizo skutoa taarifa mapema chuo ivo ikawa ngumu kuendelea toka hapo mpaka sasa Niko tu mtaani naitaji msaada niweze kuendelea na shule Niko tayari kufanya kazi yoyote ili nipate ufadhili niendelee na shule kwani nilie mtegemea ameshafariki na nashindwa tena kuomba chuo sababu ntakosa mkopo loan board nadaiwa ivo itakuwa ngumu kunipa tena na hiv hapa chini ni vyeti vyangu form four na form six
86f7e351ce5662c1fd037a39ca7ded0c.jpg
abffd9274cda39dc4c13e946d9238d16.jpg
 
Naitaji msaada kwani nimefight bila mafanikio naitaji nirudi while na hii ndio namba yangu 0742152917
 
pole kwa hali ngumu unayopitia kwa sasa... vyeti vyako ni vizuri sana hongera.
ila kwa Tanzania ya sasa unaamini huwezi toboa haya maisha bila kupita/kufika elimu ya juu (degree masters phd etc ?)
ni wakati wa kubadili fikra zetu na kuangalia mambo/fursa nyingine ili kujikomboa kiuchumi....
kila la kheri
 
pole kwa hali ngumu unayopitia kwa sasa... vyeti vyako ni vizuri sana hongera.
ila kwa Tanzania ya sasa unaamini huwezi toboa haya maisha bila kupita/kufika elimu ya juu (degree masters phd etc ?)
ni wakati wa kubadili fikra zetu na kuangalia mambo/fursa nyingine ili kujikomboa kiuchumi....
kila la kheri
Nashukuru kwa mchango wako ndugu
 
Back
Top Bottom