Anaenda wapi?anaondoka
Anaenda kuua kipaji kama mwenzake b12Rumours eti ni mawingu eti lakini
labda atarudisha benz la watuHuyu si juzi aliepewa benz na office? anyways hata salama aliondoka na planet ikaendelea kuwepo
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app

B 12 na kipindi chake cha jioni ni miongoni mwa vipindi bora ....Anaenda kuua kipaji kama mwenzake b12
Ataingia kipindi gani?Rumours eti ni mawingu eti lakini
Nan alimpa?Kwa hiyo ile benz anawaachia au
This time around hawana new blood wakali ukiacha yule jamaa wa The CruiseIla hawa jamaa EA Radio wazuri sana kwa kutengeneza watu wapya.Yote kwa yote hii ni biashara na kila mtu anatafuta riziki,kama kuna channel kaiona itampa mkwanja mrefu,acha aikamate afanye maisha.
Last time kwenye Salama na ... Alisema hawezi kuondokaRumours eti ni mawingu eti lakini
Sidhani kama alipewa Benz kweli,itakuwa maigizo tu yao!! EA radio walimpa cheo cha urais wa bongo fleva ndio wakasema rais lazima awe na ndinga ya ukweli,ndio wakampa Benz(hapa ilikuwa sanaa tu).Nan alimpa?