Naishukuru serikali ya CCM imenipa ajira

Naishukuru serikali ya CCM imenipa ajira

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
"naishukuru serikali ya ccm na hasa mh rais katika hii miaka hamsini na ushehe ya uhuru,nimepata ajira.mimi ni dereva bodaboda"...nilimsikia kijana mwenzangu akiropoka,cjui alikuwa keshapewa buku 7 au ndo yuko brainwashed
 
Mie nilimaliza degree pale mlimani ,bado nasugua GAGA!

Wanataka na mimi nikaendeshe bodaboda?

WASHINDWE!
 
Mie nilimaliza degree pale mlimani ,bado nasugua GAGA!

Wanataka na mimi nikaendeshe bodaboda?

WASHINDWE!

they don't care about us.the country they are serving has turned into their families.what they know ni kupiga hela kwa ajili ya familia zao
 
kwa kweli kichwa kichukue nafasi yake kwa kufikiri sio masaburi au tumbo utaropoka upuuzi
 
Mpe pole, hayo ndo matokeo ya Elimu ya Mulugo.

Ni ukweli usiopingika elimu ya Tanzania ni vyeti sio fikra. Huyo kijana hata km ameishia la saba, bado alichokisema hakiendani na uwezo wa kufikiri.
 
"naishukuru serikali ya ccm na hasa mh rais katika hii miaka hamsini na ushehe ya uhuru,nimepata ajira.mimi ni dereva bodaboda"...nilimsikia kijana mwenzangu akiropoka,cjui alikuwa keshapewa buku 7 au ndo yuko brainwashed

Hivi Kwa KILA MTU AKIWA ANA MILIKI BODA BODA NANI ATAMPAKIA MWENZIE. MAANA KILA MTU ANAKIMBILIA KWENYE BODABODA.
NA SERIKALI IFUNGU HOSPTAL MAALUMU KWA AJILI YA MAJERUHI WA BODABODA.
 
Mie nilimaliza degree pale mlimani ,bado nasugua GAGA!

Wanataka na mimi nikaendeshe bodaboda?

WASHINDWE!
Jishughulishe ukipata elimu ndiyo mwanzo wa kupambana kimaisha siyo kusubiri uletewe ajira mlangoni.
 
Hivi Kwa KILA MTU AKIWA ANA MILIKI BODA BODA NANI ATAMPAKIA MWENZIE. MAANA KILA MTU ANAKIMBILIA KWENYE BODABODA.
NA SERIKALI IFUNGU HOSPTAL MAALUMU KWA AJILI YA MAJERUHI WA BODABODA.

kijana mwenzangu yuko confident kabisa na anachokisema
 
Mie nilimaliza degree pale mlimani ,bado nasugua GAGA!

Wanataka na mimi nikaendeshe bodaboda?

WASHINDWE!

safi sana, wenye akili ndiyo watasurvive hapa mjini, wenzako wanalala na 70k wewe unabeza!
 
Ccm haitoi ajira wewe elimika.

hata walioelimika ajira hakuna.wapo watu na digrii kibao wanasota,wapo masterz wanasota.ukiomba kazi unaambiwa xperience mika mitano.nimemaliza chuo hiyo xperience ya kazi inatoka wapi?
 
kote duniani entrepneurship is very important sector but the gvt is creating good/conducive environment but in Tanzania there is nothing
 
safi sana, wenye akili ndiyo watasurvive hapa mjini, wenzako wanalala na 70k wewe unabeza!

Mkuu,

Yaani nisome miaka;
7;primary
4;secondary
2;high school
5;university
Total;18

Halafu nije niendeshe BODABODA?

EXCUSE ME!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama ndio hivyo mbona hao wanenu tuliosoma nao wanaajiriwa kwenye makampuni makubwa na kuendesha ma-range wakati walikuwa vilaza tu?

Mie niendeshe BODABODA na yule alomaliza la saba afenyaje sasa?Tunawafundisha nini wale wanafunzi wanaosoma sasa?Kuwa elimu ni ufunguo wa BODABODA!?

MSHINDWE!
 
Mkuu,

Yaani nisome miaka;
7;primary
4;secondary
2;high school
5;university
Total;18

Halafu nije niendeshe BODABODA?

EXCUSE ME!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama ndio hivyo mbona hao wanenu tuliosoma nao wanaajiriwa kwenye makampuni makubwa na kuendesha ma-range wakati walikuwa vilaza tu?

Mie niendeshe BODABODA na yule alomaliza la saba afenyaje sasa?Tunawafundisha nini wale wanafunzi wanaosoma sasa?Kuwa elimu ni ufunguo wa BODABODA!?

MSHINDWE!

kwani unafikiri nimekwambia uendeshe bodaboda?!!...thubutuu, wewe kaa ukisubiri ajira utaajiriwa tu, watu ni wengi kuliko uwezo wa serikali na mashirika kuajiri kwa hiyo subiri "bahati yako" na usikae unaililia serikali kwa sababu haina nafasi za kutosha. Ukiamua unaweza kuamka, ukajitambua ukajua kwamba wewe ni wewe na maisha ni yako, na mwenye wajibu wa kuyarekebisha ni wewe mwenyewe. Elimu unapewa ili UITUMIE, siyo UITUMIKIE! Mwisho wa siku mimi ni mbwabwajaji tu, maisha yanabaki kuwa yako, yafanyie chochote unachopenda, ukichagua kukaa na cheti cha degree chumbani huku unatupia ugali wa mjomba na kusubiri ajira ni heri na haki! Wapo wenye kujiongeza, waliokaa wakaona ajirangumu wakaazima milioni moja kwa dada wakaanzisha bar chini ya mti, wakawa bar maid na sasa wanahesabu faida laki tano kila siku....wanasubiri ajira bana, watauzaje bar na wao wanamiliki bachelors degree?! Wapo walioamua kufuga nguruwe na sasa wanapiga mruzi,..wanasubiri ajira tu, utafugaje bata kama wa darasa la saba?...wapo walioamua kulima matikiti maji, kubrush viatu vya watu ofisi kwa ofisi, kupika mama ntilie....uwe na ajira usiwe na ajira, uwe na phd uwe na cheti cha darasa la saba mwisho wa siku unatakiwa kusurvive. Ukiamua kupiga siasa kijiweni, fine, ukiamua kuwa wewe na kupigana na maisha, safi pia!
KARIBU DUNIANI.
 
Mkuu,

Yaani nisome miaka;
7;primary
4;secondary
2;high school
5;university
Total;18

Halafu nije niendeshe BODABODA?

EXCUSE ME!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama ndio hivyo mbona hao wanenu tuliosoma nao wanaajiriwa kwenye makampuni makubwa na kuendesha ma-range wakati walikuwa vilaza tu?

Mie niendeshe BODABODA na yule alomaliza la saba afenyaje sasa?Tunawafundisha nini wale wanafunzi wanaosoma sasa?Kuwa elimu ni ufunguo wa BODABODA!?

MSHINDWE!

mkuu,mambo mengine hayapaswi kuchekwa but kwa hii kauli,umenifanya nicheke.
 
Back
Top Bottom