Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
"naishukuru serikali ya ccm na hasa mh rais katika hii miaka hamsini na ushehe ya uhuru,nimepata ajira.mimi ni dereva bodaboda"...nilimsikia kijana mwenzangu akiropoka,cjui alikuwa keshapewa buku 7 au ndo yuko brainwashed