Puuzia !! Usiwe serious sana na maisha yenyewe, enjoy kila unapopata nafasi ya kufanya hivyoAhsante mkuu.... Ulichokisema ni sawa kabisa.
Sasa mimi inanitokea tu mawazo ya hofu ya kifo yanatawala akili yangu, japo nafahamu yote uliyoandika hapo.... Sasa nitumie mbinu ipi kuyafukuza hayo mawazo au kuzuia yasije?
Unalala yooooOn bed mnashonana unakumbuka kuhusu kifo mtarimbo unalala doro:
Mkuu wewe unasumbuliwa na hofu kubwa..ni ugonjwa huo wa akili...ukiweza tafuta mwanasaikolojia akushauri..la tumia mbinu zifuatazo: jiepushe kukaa bure na pekeyako..jitahidi kujichanganya na marafiki wanaongea mambo tofauti na kifo, fanya mazoezi utokapo kazini maana mwili utachoka na hvo ukilala utalala fofofo.Wakuu salama?
Hivi karibuni, hasa kwa mwaka huu wa 2021 nimoepoteza watu wa karibu wengi sana tangu huu mwaka uanze; Nimepoteza wazee wangu-baba wakubwa wanne, pia nimepoteza marafiki zangu wale wa inner cycle watatu,akiwemo rafiki yangu mmoja wa karibu sana aliefariki kwa kansa ya utumbo, na jamaa zangu wengine kadhaa (ndugu wa mbali na marafiki).
Pia, kuna vifo viwili vya wana JF vya hivi karibuni ambavyo vimenigusa sana, cha ip_mob na warumi hawa watu nilikua nawakubali sana hapa JF japo sijawahi kukutana nao uso kwa uso.
Hivi vifo kwa huu mwaka vimenifanya nimekua mtu wa hofu sana juu ya kifo; Yaani sasa hivi nawaza sana juu ya kifo na nashikwa na uoga wa kutisha hadi natetemeka.
Mara nyingi usiku nakosa kabisa usingizi, nawaza juu ya kifo hadi machozi yananitoka. Saa zingine naogopa hata kulala usiku na kuufukuza usingizi, maana nawaza kuwa naweza nikalala nisiamke tena, nikapotelea usingizini na kuaga dunia.
Hii hali naona imeanza kuathiri shughuli za mihangaiko yangu, kwani mchana nakua nimechoka sana na pia inanikosesha amani kabisa naishi maisha ya wasiwasi sana.
Ndugu zangu, nimekuja humu kuwauliza je nyie wenzangu mnatumia mbinu gani kuondoa hofu juu ya kifo au kuwafanya msiwaze au kuogopa kifo?
Nimejaribu kuwa nasali sana na kwenda kanisani kila siku, nimeongea pia na mchungaji na amenifanyia maombi na kunipa nasaha, lakini bado imekua ngumu sana kwa mawazo na uoga huo kunitoka.
Naomba mnisaidie ndugu zangu nawezaje kupambana na hii hali?
Naomba mnisaidie wadau.
Ahsanteni.
How to deal with it?That's paranoia.
Hahahahahahaahhaha..!! Umenichekesha sana mkuu.On bed mnashonana unakumbuka kuhusu kifo mtarimbo unalala doro:
Ahsante sana kwa ushauri.Kuna siku usiku nilipigwa na kichomi kwenye moyo wakati nimelala, aiseeeh nilishtuka na kupiga kelele mpaka wife akashangaa, mapigo ya moto yalienda mbio balaa.
Kuanzai hapo nikawa ni mtu wa kuwazia kifo tu(kama wewe hivyo kabsa) nikawa Sitaki usiku uingie na ukiingia nikiwa kitandani nawaza labda moyo utalipuka upasuke nife,kwahiyo sikuwa kabisa na amani for almost two weeks na baadae mpaka hivi ninavyoandika suogipi chochote pamoja na kwamba bado nakumbuka like pigo la moyo.Nina uhakika 100% kama wewe ni mtu wa kukuchamganya hilo litapita faster tu.
Nakuongezea na hii, Tulikua na rafiki yetu mmoja (wa kufa na kuzikana) tulikuwa tunafanya nae kazi pale GGM, jamaa alikuwa na pesa chafu (alikuwa na kaurafiki JPM), huyu jamaa alianza kusumbuliwa na kisukari miaka ya hivi karibuni alipambana sana lakini siku moja usiku akazidiwa na akafariki.....aiseeh kuna jamaa yangu nae alikuwa na kisukari aliingiwa na hofu ya kifo kiasi kwamba kila mikikaa anawaza kufa tu, anakuuliza kama Benjamin amekufa pamoja na hela zake zile sisi hizi hela tunazotafuta ni za nini Sasa?...Kilichofata sukari yake haikuwa inashuka for almost a week licha ya kwamba anatumia dawa..sukari yake ulikuja kukubali kuwa regulated alipoacha kuogopa kifo.
Maana yangu ni kwamba, chunga sana hofu isizidi kiwango maana kupitia jamaa yangu nimejifunza kwamba hofu ni ugonjwa mwingine unaloweza kukuua.
Hupaswi kujitwika mawazo ambayo daima hautaoata suluhisho lake, utajipa msongo wa mawazo tu. Kifo hakifikiriki kabisa, no matter what tutakufa tu kwahiyo kukiwaza ni kujitia mzigo tu.
Sawa mkuu, nitafanyia kazi ushauri wako.Mkuu suluhisho lako ni kuhakikisha kwamba most of the times hauwi pekeyako, hupaswi kukaa au kulala pekeako.
Zaburi 34:4
Ukweli mchungu.Ha ha ha imenibidi nikoment kufa tumeumbiwa binadamu na mungu alivyo wa ajabu anatusahulisha kabisa kama kuna kifo mpaka usikie Fulani kafa na we ndo unashtuka kumbe kuna kifo acha kuwaza siku ikifika utakufa tu ulale,usilale,usimame,ukae utakufa tuuu.
Natumaini na mimi hiyo hali itaisha pia.Hali hii ilinifika pia ,nilichofanya nikakubali kwamba kifo ni haki yetu! Yan nitakufa tu! Nikaanza kufuatilia documentaries mbalimbali kuhusu kifo !! Jinsi mortuary palivyo ! Watu wanavoandaliwa mpaka kwenda kuzikwa ! Kuna hadi watu wanafanya hadi make up kwenye miili iliyojeruhi vibaya ili iweze kuagwa! Ooh mpaka nikawa addicted kabisa. Hofu inaisha ,lakini uchungu wa kuondokewa na mpendwa wako ni kawaida.